secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Ni matumaini yangu kuwa wengi wetu(99.9) humu JF tumepita shuleni kwani tusingepita kule tusingekuwa na uwezo wa kutoa wala kusoma comments humu. Mfumo wetu wa elimu unamtaka mwanafunzi wafaulu mtihani kwani mtihani ndio unaomfanya mtu kutoka ngazi moja kwenda nyingine endapo atafaulu ama aachane na shule (kufeli).
Sasa katika harakati za kuupambania ufualu wanafunzi wanajaribu kufanya hila yoyote ilimradi wafaulu ili waendelee mbele au kukwepa bakora za mwalimu wa somo.
Binafsi nilikuwa nina uwezo wa kuangalia majibu ya mtu wa pembeni yangu bila kugeuza shingo yaani niliweza kuyageuza macho yangu ila shingo likabaki vile vile, kwa kifupimacho yangu yalikuwa kama yale matairi ya gari ya mbele.
Namshukuru mungu sikushtukiwa mpaka namaliza. Wewe ulifanya udanganyifu gani kipindi cha uanafunzi wako.
Sema na mungu wako atakusamehe.
Sasa katika harakati za kuupambania ufualu wanafunzi wanajaribu kufanya hila yoyote ilimradi wafaulu ili waendelee mbele au kukwepa bakora za mwalimu wa somo.
Binafsi nilikuwa nina uwezo wa kuangalia majibu ya mtu wa pembeni yangu bila kugeuza shingo yaani niliweza kuyageuza macho yangu ila shingo likabaki vile vile, kwa kifupimacho yangu yalikuwa kama yale matairi ya gari ya mbele.
Namshukuru mungu sikushtukiwa mpaka namaliza. Wewe ulifanya udanganyifu gani kipindi cha uanafunzi wako.
Sema na mungu wako atakusamehe.