secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
- Thread starter
- #21
Yawezekana wewe umepewa kipawa cha kupiga kinanda kwa kutumia vidole vya miguu sema hujajitambua tu. Kama uliweza kufungua safari kwa miguu sembuse kinanda.Nakumbuka kipindi nipo form one nilikuwa na rafiki yangu saidi tuliamua kuingia na daftari kabsa kwenye Mtihani wa chemistry, na tulifanikiwa kuingia nalo tukaliweka chini ya dawati letu bahati nzuri tulikuwa tunakaa bakabecha sasa cha kushanganza tulikuwa tunafunua daftari kwa vidole vya miguu au unajifanya umeangusha kalamu ili kupata nafasi la kulifunua daftari. Daah nikikumbuka Ile moment nachekaga tu.
Unapopewa kipaji jaribu kuitumia vema uihudumie jamii yako.