Ni udhaifu mkubwa sana kumshambulia Ndugai ilhali aliomba msamaha na kutolea ufafanuzi kauli yake

frankshops

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
212
Reaction score
179
Nimeshangazwa Sana na Kauli za kejeli na michambo illiyoelekezwa kwa spika ndugai siku hi ya leo na mkuu wa nchi mawaziri na makada was chama changu.

Kama Job alitumia muda mwingi hivyo kusahihisha makosa yake na kuomba msamaha hata Kama kwa unafiki,walipaswa kumstahi.

Hii inaonyesha hakuna kuheshimiana Kati ya mihimili ya nchi,au Kuna kupaniana na kulipizana visasi miongoni mwenu.

Kana kwamba Kuna watu hawatakiwa ndani ya Chama. Cha ajabu kabisa mawaziri ambao pia ni. Wabunge na ndugai ni bosi wao kule mjengoni walikuwa wanashangilia kwa kejeli,hii inaashilia nini?.Hata Kama kakosea Nchi lazima itambue nafasi ya ndugai kama spika kiongozi wa Mhimili.

Spika lazima aheshimiwe na hoja zake lazima zichukuliwe kwa uzito.na watanzania tunapaswa kubeba hoja za ndugai kwa uzito na kuzifanyia kazi,tujue zim ebeba Siri gani?.
 
Huyo ndugai alikuwa anatafutiwa tu sababu .....

Hakuna anayempenda aisee ....

Mimi binafsi tukio la lissu lilipandikiza roho ya chuki kwa huyu spika ,na sioni namna ya kumsemehe ,ni alimfanyia ushetani lissu
 
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Tulishamgundua kitambo pitia hapa
Thread 'Huenda adui Mkuu wa utawala wa Rais Samia akawa ni Spika Ndugai?' Huenda adui Mkuu wa utawala wa Rais Samia akawa ni Spika Ndugai?
 
Ndugai mwana kulitafuta,sasa amelipata apigiwe makofi [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Hayo Ni maono yako usitulazimishe kuamini unachoamini wewe. Hii ndiyo faida ya mnafiki acha apate habari yake. Ni Bora mhe. Rais ameongea na watanzania wamejua shida ipo wapi tulijua Ni polepole peke yake kumbe wapo wengi nyuma yake Sasa mmoja baada ya mwingine anajidhihirisha
 
2024 tubadili katiba Rais Samia aendelee atake asitake😅😅😅😅
 
Tulicheka sana leo walivyolitukana Lindugai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…