Mchezo huo walianza wao.Ikute mazungumzo yake ya simu yako mikononi mwa Samia. Hivyo inaonekana ule msamaha wa jana ni wakinafki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchezo huo walianza wao.Ikute mazungumzo yake ya simu yako mikononi mwa Samia. Hivyo inaonekana ule msamaha wa jana ni wakinafki.
Yeye Hana ulevi wa madaraka eehhh?Ule haukuwa msamaha bali ilikuwa ni kuweka mambo sawa, Rais Samia anajua ulevi wa madaraka wa baadhi ya watu.
Sio Lissu tu. Kawafanyia mambo ya hovyo watanzania.Huyo ndugai alikuwa anatafutiwa tu sababu .....
Hakuna anayempenda aisee ....
Mimi binafsi tukio la lissu lilipandikiza roho ya chuki kwa huyu spika ,na sioni namna ya kumsemehe ,ni alimfanyia ushetani lissu