Ni ugaidi Jeshi kupiga Wananchi wasio na hatia kisa wanaonesha hasira za mwenzao/wenzao kudhuriwa na mtu/kikundi fulani

Jeshi hawana nidhamu wako kama
Yale makundi ya mitaani tu,hawana tofauti kabisa

Ova
 
Ule utatatibu wa kukagua vyeti ukipita jeiwiii dunia itasimama
 
Jeshi hawana nidhamu wako kama
Yale makundi ya mitaani tu,hawana tofauti kabisa

Ova

Mafunzo ya uvumilivu na ustahimilivu wa kimwili na kihisia ndio kazi yake hiyo.
Wewe unatukanwa kidogo unarusha ngumi. Hapo kuna mtu hapo
 
Acha ujinga

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…