1. Je! Hi story inavyotanda mnauhakika nayo, mmefanya uchunguzi?
2. Wewe robert tukio lililotokea inawezekana hiyo ni ambush kupata wahusika. Maana kawe ni eneo la jeshi. Na ni haki kulinda eneo maana linatumika na raia. Kupotezea tu, kunaweza leta maafa kwa jamii inayozunguka hapo, siku za usoni.
Ambush is a must. Haswa kwenye mauaji ya kushtukiza kama hayo tena Kwa Mkuu wa jeshi wa nafasi ya huyo bwana jeshini.
Zaidi bado naona kama blunders tu, maana hakuna real story mbele yangu bado