ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Habarini wana JF,
Ni muda wa mwezi sasa mwenzenu nimekua nikisumbuliwa na maradhi ambayo kwakweli sijui ni nini hasa.
Mwili wangu unachoka kuliko maelezo, Sisikii hamu ya kula,
Nimeshaenda fanya vipimo mbalimbali ikiwemo ecg na echo sound kuangalia mwenendo wa moyo lakini uko sawa.
Inaweza kua tatizo gani hili? Naombeni msaada please.
Mwili hauchemki, Kichwa hakiumi,
Nishapima maleria hola, uti hola,
Ila najisikia vibaya sana. nashindwa hata kwenda kazini,
mda mwingine nahisi nataka kudondoka, Ushauri please
ahsanteni wapendwa.
Ni muda wa mwezi sasa mwenzenu nimekua nikisumbuliwa na maradhi ambayo kwakweli sijui ni nini hasa.
Mwili wangu unachoka kuliko maelezo, Sisikii hamu ya kula,
Nimeshaenda fanya vipimo mbalimbali ikiwemo ecg na echo sound kuangalia mwenendo wa moyo lakini uko sawa.
Inaweza kua tatizo gani hili? Naombeni msaada please.
Mwili hauchemki, Kichwa hakiumi,
Nishapima maleria hola, uti hola,
Ila najisikia vibaya sana. nashindwa hata kwenda kazini,
mda mwingine nahisi nataka kudondoka, Ushauri please
ahsanteni wapendwa.