NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
saws mkuuuNashukuru mkuu kwa maelezo yako
Ngemaita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
saws mkuuuNashukuru mkuu kwa maelezo yako
Ngemaita
duh magonjwa yote haya yako [emoji15] [emoji15]Dalili, nyayo za miguu zinauma, magoti yanauma, vidole kuhisi umefunga damu haipiti vinadunda, mishipa kuuma, kichwa kuuma, uvumbe kichwan kwenye kisogo, maumivu ya kifua, Homa, muwasho usononi, maumivu ya tezi na kuvimba, uchovu mwingi, hasira, moyo kupiga kwa nguvu, kikohozi kikavu, usingizi mwingi, JAMAN NISAIDIENI NI UGONJWA GANI?!
Mkuu labda kutokula matunda na mlo kamili lakini Mazoez nafanya sana coz mm mkulima ko kulima na kutembea mi nafikiri ni zoez tosha, Asanteh kwa ushauriduh magonjwa yote haya yako [emoji15] [emoji15]
Hapo bila shaka unaonekana ;
1)haunywi maji ya kutosha
2)hauli matunda na hauzingatii mlo kamili
3)haufanyi mazoezi
4)haupati usingizi wa kutosha
upo?Asanteh mkuu