mnumbwangu
Member
- Sep 8, 2014
- 27
- 26
Ukiwa mgeni katika nchi ya hawa majamaa especially kwa sisi WATANZANIA, ambao ni watu waastarabu na wasafi kwa huo ukanda wa afrika mashariki.
HATA KAMA UMEFIKIA HOTEL UNALIPA MILION YA KITANZANIA CHOONI HAKUNA BOMBA LA KUJISAFISHIA UKIMALIZA HAJA KUBWA NI MWENDO WA MA TISSUE PAPER TU, yaani kifupi wakenya ni wachafu sana, public toilet unaenda unalipa 10 bob wanakupa tissue paper chooni hakuna maji wala kopo la kujisafishia
Tatizo ni nini nyie watu?
HATA KAMA UMEFIKIA HOTEL UNALIPA MILION YA KITANZANIA CHOONI HAKUNA BOMBA LA KUJISAFISHIA UKIMALIZA HAJA KUBWA NI MWENDO WA MA TISSUE PAPER TU, yaani kifupi wakenya ni wachafu sana, public toilet unaenda unalipa 10 bob wanakupa tissue paper chooni hakuna maji wala kopo la kujisafishia
Tatizo ni nini nyie watu?