dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hayo madirisha ni matanuri madogoSipendi madirisha ya aluminum yanafunguka upande kukiwa na joto utakoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hayo madirisha ni matanuri madogoSipendi madirisha ya aluminum yanafunguka upande kukiwa na joto utakoma
We fala ongelea mambo ya Russia, si huwa wasema USA ni mashoga?Cheki wenzetu USA walivyo wastaarabu nyumba hazina ukuta wa fence wala mageti
View attachment 2476071
Hao walipangilia miji yao.Cheki wenzetu USA walivyo wastaarabu nyumba hazina ukuta wa fence wala mageti
View attachment 2476071
Tunaweka ma ukuta kuzuia vibaka wa kuiba tv na redio, sasa uko majuu kibaka gani wa kuiba tv?Cheki wenzetu USA walivyo wastaarabu nyumba hazina ukuta wa fence wala mageti
View attachment 2476071
Hili suala lipo waz.unapopiga aluminium jua wewe dirisha lako ndio kudumu utalifubgua nusu aluminium kama hauna budget ya A.C ni mateso. Sema yanasaidia kwenye kuzuia vumbi.ndan ila aluminium mwenzake A.cMadirisha ya aluminium tabia yake ya kupitisha hewa nusu dirisha.
Joto hili la Dar ni mateso
Umeskia.so huna uhakikaHiyo kwanza huku tukuyu ndo inabamba sana.
Paa linakua refu mara mbili ya nyumba. Hii design sipendezwi nayo kabisa.
Naipenda ile ya kuficha paa ila naskia ni gharama na si salama.
Ulishaona watu asubuh wanakaa vibarazan na madera huku wanasukana? Bas huko wana utamadun wao.huku kama huna fensi kwamza kila siku hata usahau ndala nje jamaa wale wa machupa ni sweepers wanapitaga mitaaan alfajir alfajir hiv hata jua bado.chochot atachokiona nje ana assume anaokota analamba hata ndala.fensi africa ndio kila kitu.Cheki wenzetu USA walivyo wastaarabu nyumba hazina ukuta wa fence wala mageti
View attachment 2476071
Hayo madesign ya sasa hiv tv wall sijui mataa taa yatapitwa na muda sasa hivUjenzi wa partion za vyumba vingi viiingi sehemu ya Tv (Tv case)
Ndio sina uhakika mkuu, kuna uzi upo humu wadau wanachangia juu ya hilo.Umeskia.so huna uhakika
Ila jitahidi gate lisinyeshewe mvua linaoza haraka. Vinginevyo rangi kila mwaka😀 umenifrahsha hyo bati juu ya geti.. kwa kweli hua haipendezi kabsa katika nyumba za kisasa..
Zimekuaje?Ukuta wa mbele wa nyumba kubandikwa Tiles na hz nyumba za sahz za kuficha bati.
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app