Ni ulimbukeni kuwazuia wasanii kutumia mavazi ya Polisi katika filamu zao

Ndiyo matokeo yake kwa sababu ukitoka nje ya hapo ni mtafutano mwishowe sanaa inakosa maana na kudhoofisha soko lake.
Yaani na mbilinge mbilinge za siasa lakini hamna filamu inayohusiana na siasa.

Na umaarufu alionao mwl. Nyerere lakini hamna hata filamu yake hata moja.
 
Video ya Amazangu ama zao ya East Coast team ilifungiwa kutokana na wasanii kuvaa mavazi ya kijeshi, japo ilikuwa ni video bora sana kwa kipindi kile.
 
Yaani na mbilinge mbilinge za siasa lakini hamna filamu inayohusiana na siasa.

Na umaarufu alionao mwl. Nyerere lakini hamna hata filamu yake hata moja.
Siyo nyerere tu hakina Mkwawa, Mirambo, chief songea wa majimaji n.k kiufupi nchi kama Korea kusini zimekula pesa ndefu sana na kutangaza historia ya nchi yao duniani pote kupitia muvi za kifalme almaarufu muvi za vijijini pale serikali yao ilipotambua umuhimu wa kuwekeza na kuipa support ya kutosha tasnia ya filamu.
 
Video ya Amazangu ama zao ya East Coast team ilifungiwa kutokana na wasanii kuvaa mavazi ya kijeshi, japo ilikuwa ni video bora sana kwa kipindi kile.
Hivi kumbe video hii pia ilifungiwa?
Umenikumbusha kisa cha sande mjeda kupokea kichapo na kuvuliwa nguo hadharani na kisa cha kina Roma na Stamina kushindwa kushoot video ya wimbo wao nchini Kenya na sare za jeshi kama alivyofanya mwenzao Khaligraph Jones kisa kuofia kufungiwa na kushtakiwa nchini mwao Tz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…