Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubali ChandraGovi ndo habari ya mjini.team govinder....kataa kukatwa uboo
Mtoto wangu wa kwanza tulimkata akiwa na 7 days na bado walisema ana maumbile makubwa mdogo ake tumekata akiwa na mwaka na miezi 11 bado pia wakadai ana maumbile makubwa. Na kweli jamaa zikidinda aisee si mchezo hadi mama yao huwa anashangaa sana. Kwahivyo hicho ulichosema ni nadharia tu.madume ya kimeru tulikua tunakatwa tukiwa wakubwa. usimkate akiwa kachanga unatengeneza ukoo wa kiba100
Kabisa, asubiri atakapomaliza darasa la saba angalu. Kibamia ndio chanzo cha mtoto wa kiume kuwa shogamadume ya kimeru tulikua tunakatwa tukiwa wakubwa. usimkate akiwa kachanga unatengeneza ukoo wa kiba100
ni rare case kama ya wanao, ila ukweli ndio huo take it or bury it.Mtoto wangu wa kwanza tulimkata akiwa na 7 days na bado walisema ana maumbile makubwa mdogo ake tumekata akiwa na mwaka na miezi 11 bado pia wakadai ana maumbile makubwa. Na kweli jamaa zikidinda aisee si mchezo hadi mama yao huwa anashangaa sana. Kwahivyo hicho ulichosema ni nadharia tu.
Baada ya siku 7 anakua tayari kwa kutahiri. Sikuhizi hawashoni, wanakata kwa kutumia special cap kwenye machine after 7 days ka'cap kanadondoka anakua njema.
Sawa Kupanga Ni KuchaguaKunamambo mawili siwezi kuwafanyia wanangu katika umri mdogo
1. Kuwatahiri - Hii ni atleast amalize STD7
2. Kuwabatiza - Kwakweli hapa ntawaacha wakue wajage kuchagua imani zao wabatizwe huko.
Iko hivi, mtoto akiwa below 2 years hadi siku 7 kuna kifaa anavalishwa ambacho ndio kinakata lile govi japo ganzi ikiisha kuna maumivu atapata tena makali hasa kwa kama 4 hours baada ya hapo anakua sawa maumivu kwa mbaali. Sasa badala ya kushonwa nyuzi anavalishwa hicho kifaa.Imekaaje hii?
Unawapa promo watoto wako hapa, ukute ni viba100, mxxxiiiieeewwMtoto wangu wa kwanza tulimkata akiwa na 7 days na bado walisema ana maumbile makubwa mdogo ake tumekata akiwa na mwaka na miezi 11 bado pia wakadai ana maumbile makubwa. Na kweli jamaa zikidinda aisee si mchezo hadi mama yao huwa anashangaa sana. Kwahivyo hicho ulichosema ni nadharia tu.
Imekaa kimkakati hiiIko hivi, mtoto akiwa below 2 years hadi siku 7 kuna kifaa anavalishwa ambacho ndio kinakata lile govi japo ganzi ikiisha kuna maumivu atapata tena makali hasa kwa kama 4 hours baada ya hapo anakua sawa maumivu kwa mbaali. Sasa badala ya kushonwa nyuzi anavalishwa hicho kifaa.
Hicho ki'cap atakaa nacho for 7 days hadi kadondoke huku kila siku kwa hizo siku 7 anakua anakalishwa kwa beseni lenye maji ya dettol kutwa mara 3 lengo ni kudhibiti infection. Na hii inafanyika kwa watoto wenye umri kati ya siku 7 hadi miaka 2. Pale kwa Dr. Hameer Kariakoo nyuma kidogo ya kituo cha daladala fire wanafanya huduma hii kwa TZS 80,000/=
queen negativity kwenye 1 n 2Unawapa promo watoto wako hapa, ukute ni viba100, mxxxiiiieeeww
Mwanamke anatahiriwa?Kwa wakike kipindi kizuri Ni wakati wa kuvunja ungo. Kile kipindi Cha kufundishwa jinsi ya kuishi na mume.
anakeketwa kwa baadhi ya jamii, kwa kizigua inaitwa genital mutilationMwanamke anatahiriwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]queen negativity kwenye 1 n 2