Ni uongo Kudai 80% Walikataa Mfumo wa Vyama Vingi

Ni uongo Kudai 80% Walikataa Mfumo wa Vyama Vingi

Swali rahisi tu unakatika mauno kibao.

Swali ni hili, ni lini Tanzania tulipiga kura za maoni? Fullstop.
acha matusi tafadhali. kama ni matusi fungua uzi wa matusi tutukanane. besides huu uzi hukuufungua wewe. Jifunze kuwa na adabu. Hukuzaliwa ili uwe mtukanaji. jifunze kustahi wazazi waliokuzaa wakitumaini kuwa utakuwa mstaarabu.

Kura ya maoni ilipigwa nchi nzima ikisimamiwa na jopo lenye hadhiya kijaji chini ya jaji kisanga kwa mbali jaji mkuu nyalali kama mwangalizi mkuu. Bila shaka kwa umri wako hata akina jaji nyalali huwajui.
 
Kwa wakati ule wajinga
Walikuwa wengi zaidi ukilinganisha Na sasa ingawa kwa sasa wajinga bando wapo wengi lakini uelewa kidogo umeanza kuonekana ijapokuwa bado.
 
Walitembea nchi nzima,na kila eneo kulitengwa vituo vya kutolea maoni. Nafikili kama sikosei tume ile iliongozwa na mhe jaji kisanga,au mhe sherukindo.
Swali linabaki palepale, ni lini Watanzania walipiga kura za maoni kukataa au kukubali mfumo wa vyama vingi?

Ccm haiukutaka kabisa vyama vingi na ndio maana ilipiga marufuku vyama vingi, vyama vingi vilikuwepo kabla Ccm msidhani watu ni machizi.

Ccm imeruhusu vyama vingi kwa mbinyo wa IFM na world bank na kwakuwa pesa zao wañazitaka na Nyerere alikuwa na vision kubwa ya kuona mbele kifuatacho yeye ndio akashinikiza Ccm ikubali mfumo wa vyama vingi, hakukuwa na namna na ndio maana katiba mpaka leo ni ya Chama kimoja.
 
Kwa wakati ule wajinga
Walikuwa wengi zaidi ukilinganisha Na sasa ingawa kwa sasa wajinga bando wapo wengi lakini uelewa kidogo umeanza kuonekana ijapokuwa bado.
Watu wengi mpo gizani ndio maana wajinga.

Vyama vingi vilikuwepo kabla ya Ccm, na mgombea binafsi alikuwepo pia lakini mpaka leo Ccm wanabinya haki ya mgombea binafsi.
 
Hakukuwahi kuwa na kura ya maoni ya kuwauliza wananchi kama wanataka mfumo wa vyama vingi au kuendelea na mfumo wa chama kimoja.

Hakukuwahi kuwa na tangazo lolote la kuwataka wananchi watoe maoni mahali popote kama wanataka mfumo wa vyama vingi.

Kilichofanyika ni kwamba wakati uchumi wa nchi umedorora sana, na nchi inahitaji usaidizi wa mataifa makubwa, na kunyimwa, sababu mojawapo ikiwa uminywaji wa demokrasia, Mwalimu Nyerere alitamka kwenye kikao cha Halmashauri Kuu kuwa tunalazimishwa kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi wakati wananchi hawaoni huo umuhimu. Ebu tuulizane kama kweli kuna haja hiyo?

Kama ilivyo kawaida ya CCM, hufanya mambo kwa unafiki wa kumfurahisha Mwenyekiti wao, wakijua kuwa Mwalimu hataki mfumo wa vyama vingi, wakaulizana humo ndani ya chama, wakamwendea Mwalimu na kumwambia kuwa wananchi hawataki mfumo wa vyama vingi.

Mwalimu Nyerere kwa sababu alijua taarifa ile ni ya uwongo, na wala hakujafanyika kura yoyote ya maoni, na mazingira ya kiuchumi yakiwa yameibana nchi, akayapuuza yale maoni, na kusema nchi itaingia kwenye mfumo wa vyama vingi. Viongozi wanafiki wa CCM, kama kawaida yao wakashangilia na kumpongeza Mwalimu Nyerere kwa uamuzi huo.

Kwa hiyo ni uwongo kusema kuwa wananchi waliulizwa kuwa kama wanataka mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, halafu wananchi wakatamka kuwa wanataka mfumo wa chama kimoja. Mahojiano yalifanyika kwenye vikao vya CCM, siyo kwa umma wa wananchi wote.
20% ndiyo walisema hawataki
 
acha matusi tafadhali. kama ni matusi fungua uzi wa matusi tutukanane. besides huu uzi hukuufungua wewe. Jifunze kuwa na adabu. Hukuzaliwa ili uwe mtukanaji. jifunze kustahi wazazi waliokuzaa wakitumaini kuwa utakuwa mstaarabu.

Kura ya maoni ilipigwa nchi nzima ikisimamiwa na jopo lenye hadhiya kijaji chini ya jaji kisanga kwa mbali jaji mkuu nyalali kama mwangalizi mkuu. Bila shaka kwa umri wako hata akina jaji nyalali huwajui.
Watu wangapi walipiga kura?
 
kumbe; halmashauri kuu ya ccm walijimilikisha nchi enzi za mwalimu yanayotokea sasa sio ajali ni matokeo hasi ya ubinfsishaji wa nchi , yaani wao walikua wanafanya maamuzi kwa niaba ya bunge, na wananchi wenyewe, kura turufu ya kusanyiko la ccm inawezaje kua maamuzi ya watanzania nyie hii nchi vituko vilianza zamani, kina bashite ni matokeo tu na wengine wengi.
Zamani matawi ya Ccm yalikuwa yanaitwa zone, yalikuwa na sifa za Police post, ukikamatwa na mgambo unawekwa lockup kwenye zone ya Ccm kabla ya kupelekwa kituo kikuu cha Polisi.
 
Swali linabaki palepale, ni lini Watanzania walipiga kura za maoni kukataa au kukubali mfumo wa vyama vingi?

Ccm haiukutaka kabisa vyama vingi na ndio maana ilipiga marufuku vyama vingi, vyama vingi vilikuwepo kabla Ccm msidhani watu ni machizi.

Ccm imeruhusu vyama vingi kwa mbinyo wa IFM na world bank na kwakuwa pesa zao wañazitaka na Nyerere alikuwa na vision kubwa ya kuona mbele kifuatacho yeye ndio akashinikiza Ccm ikubali mfumo wa vyama vingi, hakukuwa na namna na ndio maana katiba mpaka leo ni ya Chama kimoja.
Matola,soma andiko lako halafu ujitafakali,unakubali kipi na unakataa kipi?. Mpk mda huu hoja yako iliyokuwa imenyooka umeiharibu,
 
Back
Top Bottom