Ni uongo Kudai 80% Walikataa Mfumo wa Vyama Vingi

Ni uongo Kudai 80% Walikataa Mfumo wa Vyama Vingi

Pascal Mayalla ulikuwepo enzi hizo thibitisha hili.

Ni kweli 'multiparty' ilikuja kwa shinikizo la wakubwa wa dunia hilo halina ubishi.
Kwanza ni kweli mfumo wa vyama vingi ulikuja kwa shinikizo la mabeberu!. Ilipigwa kura unayoitwa white paper, watu waliulizwa kama wanataka mfumo wa vyama vingi au tuendelee na mfumo wa chama kimoja, Asilimia 80% wakataka tuendelee na chama kimoja.

p
 
Kwanza ni kweli mfumo wa vyama vingi ulikuja kwa shinikizo la mabeberu!. Ilipigwa kura unayoitwa white paper, watu waliulizwa kama wanataka mfumo wa vyama vingi au tuendelee na mfumo wa chama kimoja, Asilimia 80% wakataka tuendelee na chama kimoja.

p
Unajuwa kwa nini Gabon wanajeshi wamefuta uchaguzi na kuchukuwa Madaraka?
 
Kwanza ni kweli mfumo wa vyama vingi ulikuja kwa shinikizo la mabeberu!. Ilipigwa kura unayoitwa white paper, watu waliulizwa kama wanataka mfumo wa vyama vingi au tuendelee na mfumo wa chama kimoja, Asilimia 80% wakataka tuendelee na chama kimoja.

p
Watu wangapi walipiga hiyo kura??
 
Akikujibu nishtue[emoji1787]
Nyie watoto wa juzi kaeni kimya sisi baba zenu tunapojadili mambo yaliyotokea kabla hamjazaliwa.

Usidhani mimi ni mtoto mwenzako. Nilimvisha skafu Mwalimu Nyerere alipotembelea Iringa. Nikiwa JKT, Operesheni miaka 25 ya JKT nilienda kujenga nyumba ya Rais Mstaafu Mwalimu Nyerere.

Ndiye niliyeandaa risala ya kumuaga afande CDF Musuguri, alipostaafu.
 
Bila shaka umezaliwa baada ya mwaka 1991. Au mwaka 1990-91 wakati michakato hiyo inafanyika ulikuwa bado unanyonya.

Tatizo ninyi vitoto vya juzi ambavyo hamkushuhudia chochote, na wala hampendi kufuatilia mambo, mmejawa uwongo na ushabiki wa kipuuzi.

Tuliokuwepo wakati huo, tunakueleza kilichotokea. Chukua haya ninayokueleza kama ukweli unaofundishwa kwako mtoto wa juzi.

Hakukuwahi kuwa na kura yoyote ya wananchi kuamua kama wanataka mfumo wa vyama vingi au hapana. Mambo yaliishia kwenye vikao vya chama. Utambue wakati huo CCM ilikuwa kama mahakama ja ilikuwa juu ya Serikali. Ni wakati mke akigombezwa na mumewe, atamweleza mumewe, 'naenda kukushtaki CCM', na mume ananywea kwa kuogopa kupelekwa ofusi ya CCM.
 
acha matusi tafadhali. kama ni matusi fungua uzi wa matusi tutukanane. besides huu uzi hukuufungua wewe. Jifunze kuwa na adabu. Hukuzaliwa ili uwe mtukanaji. jifunze kustahi wazazi waliokuzaa wakitumaini kuwa utakuwa mstaarabu.

Kura ya maoni ilipigwa nchi nzima ikisimamiwa na jopo lenye hadhiya kijaji chini ya jaji kisanga kwa mbali jaji mkuu nyalali kama mwangalizi mkuu. Bila shaka kwa umri wako hata akina jaji nyalali huwajui.
Kwa nini umeamua kuwa mwongo kiasi hiki? Nilikuwepo wakati huo, nikiwa kijana kabisa, na nikiwa na cheo ndani ya UVCCM. Hakuna kura iliyopigwa, usiwadanganye watu ambao walikuwa bado hawajazaliwa.
 
Watu wangapi walipiga kura?
nenda mahakamu kuu. record zipo
Tatizo ninyi vitoto vya juzi ambavyo hamkushuhudia chochote, na wala hampendi kufuatilia mambo, mmejawa uwongo na ushabiki wa kipuuzi.

Tuliokuwepo wakati huo, tunakueleza kilichotokea. Chukua haya ninayokueleza kama ukweli unaofundishwa kwako mtoto wa juzi.

Hakukuwahi kuwa na kura yoyote ya wananchi kuamua kama wanataka mfumo wa vyama vingi au hapana. Mambo yaliishia kwenye vikao vya chama. Utambue wakati huo CCM ilikuwa kama mahakama ja ilikuwa juu ya Serikali. Ni wakati mke akigombezwa na mumewe, atamweleza mumewe, 'naenda kukushtaki CCM', na mume ananywea kwa kuogopa kupelekwa ofusi ya CCM.
povu lote hili la nini? kwa hiyo unataka siasa ya vyama vingi tz ifutwe?
 
Sijui unamanisha nn? Wajinga kwa maana ipi?



Kutokujua faida za kuwa kwenye mfumo wa vyama vingi kuwa ni nyingi sana kuliko kwenye chama kimoja.

Political awareness ni ndogo sana.

Hata sasa ratio ya wenye ufahamu ni ndogo sana ukilinganisha na wajinga.
 
Sijui unamanisha nn? Wajinga kwa maana ipi?



Kutokujua faida za kuwa kwenye mfumo wa vyama vingi kuliko chama kimoja.

Political awareness ni ndogo sana.

Hata sasa ratio ya wenye ufahamu ni ndogo sana ukilinganisha na wajinga.
 
Hakukuwahi kuwa na kura ya maoni ya kuwauliza wananchi kama wanataka mfumo wa vyama vingi au kuendelea na mfumo wa chama kimoja.

Hakukuwahi kuwa na tangazo lolote la kuwataka wananchi watoe maoni mahali popote kama wanataka mfumo wa vyama vingi.

Kilichofanyika ni kwamba wakati uchumi wa nchi umedorora sana, na nchi inahitaji usaidizi wa mataifa makubwa, na kunyimwa, sababu mojawapo ikiwa uminywaji wa demokrasia, Mwalimu Nyerere alitamka kwenye kikao cha Halmashauri Kuu kuwa tunalazimishwa kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi wakati wananchi hawaoni huo umuhimu. Ebu tuulizane kama kweli kuna haja hiyo?

Kama ilivyo kawaida ya CCM, hufanya mambo kwa unafiki wa kumfurahisha Mwenyekiti wao, wakijua kuwa Mwalimu hataki mfumo wa vyama vingi, wakaulizana humo ndani ya chama, wakamwendea Mwalimu na kumwambia kuwa wananchi hawataki mfumo wa vyama vingi.

Mwalimu Nyerere kwa sababu alijua taarifa ile ni ya uwongo, na wala hakujafanyika kura yoyote ya maoni, na mazingira ya kiuchumi yakiwa yameibana nchi, akayapuuza yale maoni, na kusema nchi itaingia kwenye mfumo wa vyama vingi. Viongozi wanafiki wa CCM, kama kawaida yao wakashangilia na kumpongeza Mwalimu Nyerere kwa uamuzi huo.

Kwa hiyo ni uwongo kusema kuwa wananchi waliulizwa kuwa kama wanataka mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, halafu wananchi wakatamka kuwa wanataka mfumo wa chama kimoja. Mahojiano yalifanyika kwenye vikao vya CCM, siyo kwa umma wa wananchi wote.
nadhani kipindi hicho watu wengi walikuwa hawajui umuhimu wa vyama vingi ila serikali ilibidi ikubali mfumo wa vyama vingi kutokana na masharti ya wahisani.
 
Mwambie au mkumbushe mwaka 90 na 91 kulikuwa na tukio gani la kitaifa kuhusiana na mfumo wa vyama.
 
Back
Top Bottom