Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Waongo snNa manafiki
Kwa akili yako wewe , kupata maoni ya watu lazima kupiga kura, au?Wewe mwenye akili, tueleze ni lini tupiga kura kuridhia au kuukataa mfumo wa vyama vingi?
Kwanza ni kweli mfumo wa vyama vingi ulikuja kwa shinikizo la mabeberu!. Ilipigwa kura unayoitwa white paper, watu waliulizwa kama wanataka mfumo wa vyama vingi au tuendelee na mfumo wa chama kimoja, Asilimia 80% wakataka tuendelee na chama kimoja.Pascal Mayalla ulikuwepo enzi hizo thibitisha hili.
Ni kweli 'multiparty' ilikuja kwa shinikizo la wakubwa wa dunia hilo halina ubishi.
Unajuwa kwa nini Gabon wanajeshi wamefuta uchaguzi na kuchukuwa Madaraka?Kwanza ni kweli mfumo wa vyama vingi ulikuja kwa shinikizo la mabeberu!. Ilipigwa kura unayoitwa white paper, watu waliulizwa kama wanataka mfumo wa vyama vingi au tuendelee na mfumo wa chama kimoja, Asilimia 80% wakataka tuendelee na chama kimoja.
p
Watu wangapi walipiga hiyo kura??Kwanza ni kweli mfumo wa vyama vingi ulikuja kwa shinikizo la mabeberu!. Ilipigwa kura unayoitwa white paper, watu waliulizwa kama wanataka mfumo wa vyama vingi au tuendelee na mfumo wa chama kimoja, Asilimia 80% wakataka tuendelee na chama kimoja.
p
Nyie watoto wa juzi kaeni kimya sisi baba zenu tunapojadili mambo yaliyotokea kabla hamjazaliwa.Akikujibu nishtue[emoji1787]
Bila shaka umezaliwa baada ya mwaka 1991. Au mwaka 1990-91 wakati michakato hiyo inafanyika ulikuwa bado unanyonya.
Kwa nini umeamua kuwa mwongo kiasi hiki? Nilikuwepo wakati huo, nikiwa kijana kabisa, na nikiwa na cheo ndani ya UVCCM. Hakuna kura iliyopigwa, usiwadanganye watu ambao walikuwa bado hawajazaliwa.acha matusi tafadhali. kama ni matusi fungua uzi wa matusi tutukanane. besides huu uzi hukuufungua wewe. Jifunze kuwa na adabu. Hukuzaliwa ili uwe mtukanaji. jifunze kustahi wazazi waliokuzaa wakitumaini kuwa utakuwa mstaarabu.
Kura ya maoni ilipigwa nchi nzima ikisimamiwa na jopo lenye hadhiya kijaji chini ya jaji kisanga kwa mbali jaji mkuu nyalali kama mwangalizi mkuu. Bila shaka kwa umri wako hata akina jaji nyalali huwajui.
nenda mahakamu kuu. record zipoWatu wangapi walipiga kura?
povu lote hili la nini? kwa hiyo unataka siasa ya vyama vingi tz ifutwe?Tatizo ninyi vitoto vya juzi ambavyo hamkushuhudia chochote, na wala hampendi kufuatilia mambo, mmejawa uwongo na ushabiki wa kipuuzi.
Tuliokuwepo wakati huo, tunakueleza kilichotokea. Chukua haya ninayokueleza kama ukweli unaofundishwa kwako mtoto wa juzi.
Hakukuwahi kuwa na kura yoyote ya wananchi kuamua kama wanataka mfumo wa vyama vingi au hapana. Mambo yaliishia kwenye vikao vya chama. Utambue wakati huo CCM ilikuwa kama mahakama ja ilikuwa juu ya Serikali. Ni wakati mke akigombezwa na mumewe, atamweleza mumewe, 'naenda kukushtaki CCM', na mume ananywea kwa kuogopa kupelekwa ofusi ya CCM.
Sijui unamanisha nn? Wajinga kwa maana ipi?
Sijui unamanisha nn? Wajinga kwa maana ipi?
nadhani kipindi hicho watu wengi walikuwa hawajui umuhimu wa vyama vingi ila serikali ilibidi ikubali mfumo wa vyama vingi kutokana na masharti ya wahisani.Hakukuwahi kuwa na kura ya maoni ya kuwauliza wananchi kama wanataka mfumo wa vyama vingi au kuendelea na mfumo wa chama kimoja.
Hakukuwahi kuwa na tangazo lolote la kuwataka wananchi watoe maoni mahali popote kama wanataka mfumo wa vyama vingi.
Kilichofanyika ni kwamba wakati uchumi wa nchi umedorora sana, na nchi inahitaji usaidizi wa mataifa makubwa, na kunyimwa, sababu mojawapo ikiwa uminywaji wa demokrasia, Mwalimu Nyerere alitamka kwenye kikao cha Halmashauri Kuu kuwa tunalazimishwa kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi wakati wananchi hawaoni huo umuhimu. Ebu tuulizane kama kweli kuna haja hiyo?
Kama ilivyo kawaida ya CCM, hufanya mambo kwa unafiki wa kumfurahisha Mwenyekiti wao, wakijua kuwa Mwalimu hataki mfumo wa vyama vingi, wakaulizana humo ndani ya chama, wakamwendea Mwalimu na kumwambia kuwa wananchi hawataki mfumo wa vyama vingi.
Mwalimu Nyerere kwa sababu alijua taarifa ile ni ya uwongo, na wala hakujafanyika kura yoyote ya maoni, na mazingira ya kiuchumi yakiwa yameibana nchi, akayapuuza yale maoni, na kusema nchi itaingia kwenye mfumo wa vyama vingi. Viongozi wanafiki wa CCM, kama kawaida yao wakashangilia na kumpongeza Mwalimu Nyerere kwa uamuzi huo.
Kwa hiyo ni uwongo kusema kuwa wananchi waliulizwa kuwa kama wanataka mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, halafu wananchi wakatamka kuwa wanataka mfumo wa chama kimoja. Mahojiano yalifanyika kwenye vikao vya CCM, siyo kwa umma wa wananchi wote.
Create alier repeat it several times eventually it will asset itself as true.🤣🤣🤣🤣😍🤣🪑Uongo ukirudiwa mara nyingi hugeuka kuwa ukweli
kura ilifanyika lini kupata hio asilimia wewe kuwadi la warabu tuambie.Akikujibu nishtue🤣
a question from ccm goon and a puppet of dpworld.Na wewe umezaliwa lini? Una uwelewa upi katika suala unalolizungumzia? Kama unalizungumzia kwa hisia basi wewe na mwenzake mko sahihi!
Makuwadi ya warabu tulieniKukataa vyama vingi haimaanishi kukataa Upinzani
Hata sasa Upinzani wa kweli uko ndani ya CCM yenyewe siyo hawa akina Mbowe na Zitto
Nadhani umeelewa😄
Yessss Sir!!a question from ccm goon and a puppet of dpworld.