Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
- Thread starter
- #41
Hii nchi ngumu sana [emoji23][emoji23]Sometimes cameraman naye ankimbia na camera yake [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nchi ngumu sana [emoji23][emoji23]Sometimes cameraman naye ankimbia na camera yake [emoji23][emoji23]
Tunajenga kwa pesa zetu by MwendazakeWatanzania ni watu wazarendo sana kwa vitu vilivyo vya kwao! Lakini inafikia mahali wawasilishaji wanaviwasiliaha kimakosa!
Uwanja pekee ambao kwa sasa umefifia na uko karibu kufa ni katika tathnia ya filamu za kitanzania (maigizo), walibaki wakina mama kuwa watazamaji na mashabiki wao! Lakini kwa sasa na wao wamehamia kwenye series za kikorea!
Huwezi amini kuwa makosa kwenye tathnia hii yalikuwepo hata kipindi cha uigizaji wa Steven Kanumba! Japo kwa asilimia ndogo sana!
Twende kwenye kiini
Tufahamishe uongo wowote uliokutana nao kwenye bongo movie ambao ulikukata stimu za kuendelea kuzifuatilia!
Kwa kuanzia, mtu kuflash back na kukumbuka matukio yaliyofanyika ambapo yeye hakuwepo! Mtu anakumbuka, halafu kwenye tukio hayupo!
We unamtania mama wa kambo ehhhhh [emoji23][emoji23]
Kabla hajafa analia kwanza[emoji23][emoji23]Mtu anaendesha pikipiki, anapigwa risasi anafunga breki kwanza anashuka halafu anaweka stendi ndio anaanguka kufa [emoji28][emoji28][emoji28]
Kamera ya kijinga Kama mark 3 ambayo hutumika na bongo movie nyingi unakodi kwa 50 kwa siku,lakini hata hivyo ulisema ukimbie nayo kumfuata muigizaju picha itacheza,hapa utahitaji gumbo,ambayo ni ghali,au dolly,ni ghali pia..bongo movie wanaungaunga hawana mitaji,so ngoma inabidi ipigwe chapu ili kupunguza gharamaMimi ukiachana na maswala ya uongo ..nitazunguzumzia maswala ya makosa ya kiufundi kama editing n.k.
Kwa mfano cinematographic technique bado sana ...kumbuka hata mjongeo wa kamera katika kurekodi tukio huvuta hisia kwa mtazamaji.
Unakuta tukio labda la kukimbia ni kamera moja peke yake inatumika..hivyo kukosa baadhi ya angle kwenye scene.
Kwenye editing pia unakuta boom mic inaonekana. na mambo mengi kibao tu
Mlinzi chizi wa kwanza kawa mkuu wa wilaya kwa wakuryaYaani mlinzi lazima awe chizi chizi
Bongo bwana😂😂😂
Watakuja kina ray kwa kujiona masuper star watataka uwatengenezee bure ili wakutangaze.Ndoto yangu siku moja kuwa na studio kubwa ya kutayarisha filamu (nina mpango wa kusomea ) ambayo italeta mapinduzi makubwa bongo movie.
Si zungumzii studio kama marvel huko mbali na pagumu Sana kufikia ,lkn kastudio flani ambacho kitazalisha movie zenye quality za kimataifa
Kama nipo hatua za mwanzo nitakubali (sio free kabisa) hili kutengeneza brand ,lkn nikashapata jina nitaaza kuwa expensive na Mimi and there will be nothing FreeWatakuja kina ray kwa kujiona masuper star watataka uwatengenezee bure ili wakutangaze.
Hata kama watatayarisha movie zao zenye uongo ndani yake!!? [emoji1][emoji1]Kama nipo hatua za mwanzo nitakubali (sio free kabisa) hili kutengeneza brand ,lkn nikashapata jina nitaaza kuwa expensive na Mimi and there will be nothing Free
Hapo bado hujamzungumzia Tin White, anashiriki kila sekta, lakini kiuharisia unakuta ni photographer wa mabibo, tena mpiga picha za studio ndo anafanya mambo!!Mbona huzungumzii ile ,muandaji ,ray, muandishi,ray, directer ,rey, steling ,rey, yaani mtu mmoja anakuwa ameshiriki sehemu kibaaao hii pia inachangia sana kuaribu
Kosa liko wapi hapomy dota...mama yangu...duh