Hakuna kipimo kinachopima mwili Mzima kwa mara moja Huo ni utapeli kama Utapeli mwingine tuKuna kampeni kubwa inaendelea sehemu mbalimbali ambapo kuna wataalamu wanapita na kipimo cha kupima mwili mzima kwa 20,000.
Nina shauku ya kujua kutoka wizara ya Afya kuhusu msimamo wa serikali juu ya jambo hili.
Waziri Ummy,ikikupendeza tueleze.
Ndio maana tunaomba muongozo wa serikaliHakuna kipimo kinachopima mwili Mzima kwa mara moja Huo ni utapeli kama Utapeli mwingine tu
Hawa matapeli wanajitangaza sana lakini serikali yaani Wizara ya afya kimyaaa.Hakuna kipimo kinachopima mwili Mzima kwa mara moja Huo ni utapeli kama Utapeli mwingine tu
Ummy yupo busy na per diemKuna kampeni kubwa inaendelea sehemu mbalimbali ambapo kuna wataalamu wanapita na kipimo cha kupima mwili mzima kwa 20,000.
Nina shauku ya kujua kutoka wizara ya Afya kuhusu msimamo wa serikali juu ya jambo hili.
Waziri Ummy,ikikupendeza tueleze.
Huyo mama ukimtag tu,hachelewi kuja kukujibu dukuduku lako la moyo.Ummy yupo busy na per diem
Huwa hajibu mpk umsifieHuyo mama ukimtag tu,hachelewi kuja kukujibu dukuduku lako la moyo.
hata bila kumsifia mada kama inamuhusu achelewi we mtag.Huwa hajibu mpk umsifie
Acha uongo hajawahi kujibu swali hata moja, ni Gwajima pekee ndiyo huwa ana jibu, Ummy anakiburi, NHIF ipo hoi sababu ya uongozi mbovu wa Ummy. taja cha maana alichofanya Ummy pale Wizara ya Afya hata kimojahata bila kumsifia mada kama inamuhusu achelewi we mtag.
Mkuu mbona uko na hasira sana?Acha uongo hajawahi kujibu swali hata moja, ni Gwajima pekee ndiyo huwa ana jibu, Ummy anakiburi, NHIF ipo hoi sababu ya uongozi mbovu wa Ummy. taja cha maana alichofanya Ummy pale Wizara ya Afya hata kimoja
Mkuu mi ni mtumiaji wa Twitter haswa nawajua hawa watu vizuri, Ummy anabebwa na maza lakini ni kiongozi wa hovyo snMkuu mbona uko na hasira sana?
Kumradhi nimechanganya madawa..kweli ni Gwajima...
Unaweza ua mtu
Ulipogusa Bima tu, ndipo nikajua nimechanganya madawa, shida aina ya viongozi wengi ni wachumia tumboni..aliesema shamba la bibi hajakoseaMkuu mi ni mtumiaji wa Twitter haswa nawajua hawa watu vizuri, Ummy anabebwa na maza lakini ni kiongozi wa hovyo sn
Una mfananisha na Dorothy Gwajima?hata bila kumsifia mada kama inamuhusu achelewi we mtag.
Kama ulikuwepo,hakika hujakoseaUna mfananisha na Dorothy Gwajima?
Tena vya mtaaniTanzania kwa nini baadhi yetu tunakosa maarifa?
Yaani kipimo cha mwili mzima 20,000... sidhani maana wapigaji wengi siku hizi bongo kwa kivuli cha bei nafuu..
Cheap is expensive