Ni upi Msimamo wa Serikali kuhusu Vipimo vinavyopima mwili mzima kwa Tsh. 20,000?

Ni upi Msimamo wa Serikali kuhusu Vipimo vinavyopima mwili mzima kwa Tsh. 20,000?

Mkuu mi ni mtumiaji wa Twitter haswa nawajua hawa watu vizuri, Ummy anabebwa na maza lakini ni kiongozi wa hovyo sn
We ndiyo wa hovyo na una sababu zako binafsi, Ummy Mwalimu watanzania wanamjua ni waziri jembe tangia kipindi cha Magu. Yuko makini na kazi yake, hata Magufuli alimsifu sana hasa alivyopambana kipindi Covid-19 inaanza, alikuwa halali mama wa watu. We huna tofauti na shetani.
 
Pia pale mwenge mpakani karibu ya magorofa ya jeshi kuna sinagogi linaongozwa na mtu anajiita Nabii James Nyakia,huyu analaza watu kabisa sijui kama Wizara ya Afya imempa kibali hicho. Anadai mikono yake ina upako ina uwezo wa kufanya vipimo vya X-ray, Ultrasound, CT Scan, MRI na ghara ya kipimo ni Tsh.10,000/-. Anakuja kuwakamata kwenye tiba kwani wanapewa asali iliyowekwa kwenye kichupa kidogo cha ml 10 na bei yake inategemea na hali ya ukwasi wa mgonjwa lakini ni kati ya Tsh.50,000/- hadi Tsh. 350,000/- mwenyewe anaviita package.
 
Kuna kampeni kubwa inaendelea sehemu mbalimbali ambapo kuna wataalamu wanapita na kipimo cha kupima mwili mzima kwa 20,000.

Nina shauku ya kujua kutoka wizara ya Afya kuhusu msimamo wa serikali juu ya jambo hili.

Waziri Ummy, ikikupendeza tueleze.
Kampeni hiyo inaendelea wapi Mkuu tuelewe vizuri unachotueleza?
 
Zitolewe Tahadhari kwa Wananchi wajihadhari na huu Utapeli.

Polisi nao wakamate Matapeli haya latika Mitaa yetu.
 
Pia pale mwenge mpakani karibu ya magorofa ya jeshi kuna sinagogi linaongozwa na mtu anajiita Nabii James Nyakia,huyu analaza watu kabisa sijui kama Wizara ya Afya imempa kibali hicho. Anadai mikono yake ina upako ina uwezo wa kufanya vipimo vya X-ray, Ultrasound, CT Scan, MRI na ghara ya kipimo ni Tsh.10,000/-. Anakuja kuwakamata kwenye tiba kwani wanapewa asali iliyowekwa kwenye kichupa kidogo cha ml 10 na bei yake inategemea na hali ya ukwasi wa mgonjwa lakini ni kati ya Tsh.50,000/- hadi Tsh. 350,000/- mwenyewe anaviita package.
Na huyo nae Anyakwe, Wizara ya Afya isikae kimya na hawa Watu.
 
Kuna kampeni kubwa inaendelea sehemu mbalimbali ambapo kuna wataalamu wanapita na kipimo cha kupima mwili mzima kwa 20,000.

Nina shauku ya kujua kutoka wizara ya Afya kuhusu msimamo wa serikali juu ya jambo hili.

Waziri Ummy, ikikupendeza tueleze.
😆😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom