Pole sana kwa kufiwa na mkeo (kipenzi). Sikubaliani na wewe kuhusu suala la kuoa kwa sababu ulizotoa. Kuoa kwa sababu yoyote ile nje ya love si kuoa. kama ni majukumu, tafuta housegirl au hata ndugu kijijini aje alee wanao. Watoto wa miaka nane si wadogo sana, wanaweza kukaa na housegirl. Tena ningekushauri uendelee kukaa single kwa muda zaidi watoto wakue. Nakwambia utaja oa hao watoto wapate shida kwani wanawake sisi tuna roho mbaya sana when it comes to husband's children. My dad and mom divorced when I was 13 and my young sister 10 but my loving dad hakuoa na hiyo imetufanya tuwe na bright future, tulilelewa na house maid kibibi. Our dady was so close to us telling us everything that we should and should not do including dating. Jenga ukaribu na wanao utaweza kuwalea tu.