Kiukweli nashindwa kuelewa uhalali wa ndoa ya mkeka
Ndoa ya mkeka ni ndoa ambayo huwalazimisha vijana kuingia katika ndoa kuwaepusha na kuendeleza zinaa
Hufanywa kwa kuwavamiwa watoto hao wawapo faragha na muda huo huo ndoa hupishwa na kufungishwa na shekhe
Ndoa hizi zimekuwa zikihusishwa na dini ya kiislamu kwa asimilia mia moja, uhalali wa ndoa ya mkeka ni upi
Hapa najaribu kuona ni kwanini uislamu umeendekeza aina hii ya ndoa? Kitendo cha kuwalazimisha watu waonane kwa sababu tu wamekutwa wanacheza yope kiukweli si haki
Wazazi wa binti wanakuwa wamepoteza mahali, kwani ni utamaduni wetu
Ndoa haidumu kwani wanandoa wanakuwa wamelazimishwa
Ndoa hii pia huwaingiza watoto wadogo kiumri katika ndoa kwani haijali kama mtoto au mtu mzima amekutwa ndani kwa mwanaume ni pale pale ndoa hufungishwa
Mapenzi hayalazimishwi, hivi uhalali wa ndoa za mikeka uko vipi kisheria?
Je kanisa (ukristo) unatambua uhalali wa ndoa za mikeka?
Ndoa ya mkeka ni ndoa ambayo huwalazimisha vijana kuingia katika ndoa kuwaepusha na kuendeleza zinaa
Hufanywa kwa kuwavamiwa watoto hao wawapo faragha na muda huo huo ndoa hupishwa na kufungishwa na shekhe
Ndoa hizi zimekuwa zikihusishwa na dini ya kiislamu kwa asimilia mia moja, uhalali wa ndoa ya mkeka ni upi
Hapa najaribu kuona ni kwanini uislamu umeendekeza aina hii ya ndoa? Kitendo cha kuwalazimisha watu waonane kwa sababu tu wamekutwa wanacheza yope kiukweli si haki
Wazazi wa binti wanakuwa wamepoteza mahali, kwani ni utamaduni wetu
Ndoa haidumu kwani wanandoa wanakuwa wamelazimishwa
Ndoa hii pia huwaingiza watoto wadogo kiumri katika ndoa kwani haijali kama mtoto au mtu mzima amekutwa ndani kwa mwanaume ni pale pale ndoa hufungishwa
Mapenzi hayalazimishwi, hivi uhalali wa ndoa za mikeka uko vipi kisheria?
Je kanisa (ukristo) unatambua uhalali wa ndoa za mikeka?