Ni upi ukweli kuhusu Nguva (Samaki mtu)?

Ni upi ukweli kuhusu Nguva (Samaki mtu)?

nguva nadhani ni tofauti na marmaid sijui lkn nachoojua mm nguva ni mnyama mkubwa sana anae ishi bahari zenye vina virefu wel nikisema mnyama sifa zake mwazijua interms of kunyonyesha na kuzaa nk.. lakm hao mormaid inasemekana! inasemekana! eti wanakuwa na umbo labinadamu tena mwanamke kwasab kichwa chake kinakuwa na rasta lkn zipo kama vile mikia ya pweza (vuta picha utaelewa )japo ni nusu hadi kiunoni ndo anamuonekano wa mwanamke na maziwa lkn huku chini anamiguu kama samak yan upo mmoja tu kama alivyo samaki sasa tukisema tumuelezee weee tunakuwa tunakosea wakati hatujawahi mshuhudia, kwani hilo swali ni lazima sana ujibiwe ili tuingia library kwa uchunguzi zaidi tuone kama tutapata chochote
 
marmaid na nguva ni tofauti marmaid ndo huyo anasemekana samaki mtu ambae ni nadra sana kuonekana uki you tube utamuona kakamatwa wakati fulani bahari fulani akiota jua kwenye kajikisiwa halafu nguva anajina lake kingereza limenitoka kidg lkn huyo hana matatizo ni samaki tu lkn ni mkubwa sana ndomana wanamuita mnyama maana ana vigezo vya kuitwa mnyama juu ya sifa zake upoooo!
 
Samaki aina ya nguva yupo lakini hana umbile la nusu mwanamke nusu samaki.Kuwa eti ni mermaid msichana mrembo ni hadithi tu kama wachangiaji wengine walivyosema.Hii ilitokana na samaki huyu anapovuliwa kuwa na nywele ambazo ukiziangalia kwa haraka utasema ni mwanamke.Uzushi ulisambaa na kuna hadithi zipo kuhusu mermaid kwa mfano za HANS ANDERSEN wa Sweden.Kitabu cha hadithi bora za Hans kina hadithi.nyingi kuhusu mermaids na ni ngano tu na ubunifu.
 
Wakuu hebu tupeni historia ya huyu samaaki mtu manaake nimeingia katika youtube nimekuta watu wanabishana wako wanasema uongo na wako wanasema ni kweli ila nimecheki hii video nimeona kama kuna ukweli flani hebu tuambieni kwa wale wanaojua.

 
Last edited by a moderator:
uwepo wa marmaid ni ngano ya kusadikika.. hakuna kitu kama hicho...haina tofauti na ZIMWI (giant) la kwenye ngano za wahenga.
 
Hawa samaki wapo!!! Hakuna cha majini wala nduguze majini.Wanaishi kama binadamu kwenye maji na wanapatikana kwenye maji ya baridi namaanisha huko Ulaya ni wengi.

Kama mnataka kwenda kuvua twendeni

Nisubiri mkuu nanunua 3bomba hapa kwa mangi fasta!!!
 
220px-Waterhouse_a_mermaid.jpg


Unaona hiyo sehemu ya kati inayoingia ndani? Hapo ndo palipo na genitals....

Huyu si nimewahi chat nae wasapu huyu?????!!! Kumbe ndio nguva
 
Hamna kitu hicho Mimi kwetu tumezungukwa na bahari na nilikua navua na pia ni diver sijawahi kumsikia mvuvi yoyote kusema amepata kumuona huyo nguva ila ni hadith tu sadiki ukipenda
 
Nliskia zamani ati nguva ni msichana na kaka ake walifanya mapenzi wakalaaniwa na kugeuzwa nusu samaki nusu mtu .. . sijui ndio kudanganyana utotoni lol
 
Hamna kitu hicho Mimi kwetu tumezungukwa na bahari na nilikua navua na pia ni diver sijawahi kumsikia mvuvi yoyote kusema amepata kumuona huyo nguva ila ni hadith tu sadiki ukipenda

Mkuu kisiwa gani?
 
Tumuulize sam mangwana,si alisemaga kabibi anatembea kama nguva!
 
hamna kitu kama iki, nin kama boogey man,God, sant clause nk just myth hamna ushahid wowote wa uwepo wake!!!
 
Hello wana JF....
naomba kuuliza kama marmaid "samaki mtu" kama yupo dunian ama kama amewai kuishi......au ni kiombe wa kufikirika tu!.


Je kuna watu wamewai kumuona na kumpiga picha?....maana nime jaribu kufwatilia naona picha nyingi ni za kutengeneza..
 
mh kama hayupo mbona anasemwa sana..na kwa nini dhana ya picha ijengeke ya nusu mtu nusu samaki...kawa nini isijengwe dhana ya picha ya labda nusu mtu nusu simba..anu nusu nyoka..au nusu tembo au nsu mtu nusu nyangumi ...tnaomba ukweli wadau wenye kujua
 
Nenda youtube andika mermaid utaletewa video za live za hao viumbe ni kama binadamu kabisa sema sura zinatisha kidogo ila wana mpaka mikono na hizo video sio za act ni za kweli
 
Back
Top Bottom