Ni upi ukweli kuhusu Nguva (Samaki mtu)?

Ni upi ukweli kuhusu Nguva (Samaki mtu)?

Mkuu MziziMkavu hivi uwepo wa nguvu ni jambo la kufikilika au kuna ukweli furani?Nimeiangalia hii youtube,lakini naona ni kama picha ya kutengenezwa!
 
Last edited by a moderator:
guys n kwel samakimtu mermaid yupo plz n hakkshe....njibun nijue mko active nwape info pctre and vdeo sorry n post ya mda mref ila ndo nmeikuta xo ntak nwahakkshie
 
guys n kwel samakimtu mermaid yupo plz n hakkshe....njibun nijue mko active nwape info pctre and vdeo sorry n post ya mda mref ila ndo nmeikuta xo ntak nwahakkshie

no such thing in the entire scientific word!!
 
it is tales hv ni hadth za zamani za wavuvi but hakuna kitu kama hcho
 
mermaid11.bmp


ndo huyu ama¿¿ haki ni mrembo haswaaaa
Kama ndo yuko hivi style kama CHUMA MBOGA utapigaje?
 
guys n kwel samakimtu mermaid yupo plz n hakkshe....njibun nijue mko active nwape info pctre and vdeo sorry n post ya mda mref ila ndo nmeikuta xo ntak nwahakkshie

nimeshindwa kabisa kuelewa ulichoandika............
 
Hizo hadithi tu, Nguva anaitwa Dugong, ni samaki ila ananyonyesha ndo maana anafananishwa na mwanamke, ukienda makumbusho ya taifa utamkuta
correction !si samaki ni mamalia wa baharini kama seal,warlus,dolphins etc
 
Back
Top Bottom