Ni upi utaratibu wa kufungua biashara mara tu baada ya kupiga kura Oktoba 28? Utaratibu kabla ya kutangazwa matokeo ni upi?

Ni upi utaratibu wa kufungua biashara mara tu baada ya kupiga kura Oktoba 28? Utaratibu kabla ya kutangazwa matokeo ni upi?

SEASON 5

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
481
Reaction score
1,008
Habarini NDUGU ZANGU,

Nilikua nauliza utaratibu wakufungua biashara kwa wafanyabiashara wenye maduka, machinga, mama ntilie na wengineo wote siku ya tar 28 (uchaguzi) iko vipi? Maana kwa stori ninazosikia eti wanasema tar 28 hakutokua na ruhusa ya kufungua biashara mpaka upigaji kura umalizike.

Wengine wanasema baada ya mchakato wakupiga kura kuisha wakati tunasubiri matokeo ya urais watu wote tutakua majumbani mpaka matokeo yatakapo tangazwa, je hii ina ukweli ndani yake?

Kama si kweli, wanaojua ukweli ni upi?

Kama ni kweli, si tutakufa njaa sasa kwa siku hizi hasa sisi machinga watembeza mihogo kwenye beseni?

Naomba mwanga kidogo kuhusu hili wana jamiii wenzangu.

Wenu mtiiifu

Zai
 
Kwa nini ufunge biashara yako?
 
Habarini NDUGU ZANGU,

Nilikua nauliza utaratibu wakufungua biashara kwa wafanyabiashara wenye maduka, machinga, mama ntilie na wengineo wote siku ya tar 28 (uchaguzi) iko vipi? Maana kwa stori ninazosikia eti wanasema tar 28 hakutokua na ruhusa ya kufungua biashara mpaka upigaji kura umalizike.

Wengine wanasema baada ya mchakato wakupiga kura kuisha wakati tunasubiri matokeo ya urais watu wote tutakua majumbani mpaka matokeo yatakapo tangazwa, je hii ina ukweli ndani yake?

Kama si kweli, wanaojua ukweli ni upi?

Kama ni kweli, si tutakufa njaa sasa kwa siku hizi hasa sisi machinga watembeza mihogo kwenye beseni?

Naomba mwanga kidogo kuhusu hili wana jamiii wenzangu.

Wenu mtiiifu

Zai
Unapoambiwa urudi nyumbani haimaanishi urudi nyumbani , yaani usibaki kwenye kituo cha kupiga kula nenda kafanye shughuli zako nyingine, kwa hiyo ww nenda kapige kula kisha kafungue duka lako ,ila nakushauli ikifika saa 10 uwe umerudi nyumbani tayali maana kupiga kula hakuna changamoto yeyote changamoto ipo kwenye kutangaza matokeo na kuna baadhi ya matokeo hutangazwa cku hiyo hiyo kama udiwani mpaka saa 6 ucku watu wanashujua duwaniwa chama gani
 
Wee kapige kura..urudi kwenye biashara yako

Usiwasikilize Chadema ni waongo
 
Back
Top Bottom