Ni upi Wajibu mpya wa Jamhuri katika kesi za Mauaji ambazo washukiwa wa mauaji huachiwa huru na Mahakama kwa Hoja za Ushahidi kua na mashaka n.k

Ni upi Wajibu mpya wa Jamhuri katika kesi za Mauaji ambazo washukiwa wa mauaji huachiwa huru na Mahakama kwa Hoja za Ushahidi kua na mashaka n.k

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Tuchukulie Mfano, Kesi ya Mauaji ya Dada wa Bilionea Msuya.

Huyu Dada aliuwawa ndio, Kwa kuchinja kiasi cha mwili wake na Kichwa kutenganishwa.

Jamhuri kupitia Polisi ilikamata washukiwa, na masuala ya ushahidi, mwisho kesi ikaanza.

Hatimaye, Washukiwa kuachiwa Huru !!.

Ni kama Kesi iliishia hapo kirahisirahisi, Kwa Lugha nyepesi ni kua Dada wa Bilionea Msuya, alijichinja mwenyewe.

Swali langu Kwa wanasheria wa Jamii forums,,, Inapotokea Mahakama imehamia namna hii, ni upi Wajibu wa Jamhuri?.

Ni sahíhi Kwa Jamhuri kuishia hapo?.

Jamhuri inapaswa kuanzisha Upya upeleleIezi kukusanya ushahidi usokua na mshaka?.



Au ikiisha imeishaa hiyo !!
 
Ninajiuliza , ilikuaje J4 aliokutwa na hatia ya Mauaji Kwa kufuatia Risasi, aliachiwa huru??.


Huyu alomchoma Mkaa mkewe, kapigwa nyundo ya Kifo.

Daahhh
 
Tuchukulie Mfano, Kesi ya Mauaji ya Dada wa Bilionea Msuya.

Huyu Dada aliuwawa ndio, Kwa kuchinja kiasi cha mwili wake na Kichwa kutenganishwa.

Jamhuri kupitia Polisi ilikamata washukiwa, na masuala ya ushahidi, mwisho kesi ikaanza.

Hatimaye, Washukiwa kuachiwa Huru !!.

Ni kama Kesi iliishia hapo kirahisirahisi, Kwa Lugha nyepesi ni kua Dada wa Bilionea Msuya, alijichinja mwenyewe.

Swali langu Kwa wanasheria wa Jamii forums,,, Inapotokea Mahakama imehamia namna hii, ni upi Wajibu wa Jamhuri?.

Ni sahíhi Kwa Jamhuri kuishia hapo?.

Jamhuri inapaswa kuanzisha Upya upeleleIezi kukusanya ushahidi usokua na mshaka?.



Au ikiisha imeishaa hiyo !!
Kwa Tanzandumba kila kitu inawezekana.Labda tuende tanga tukazurure kama tuna mechi za watani.
 
Ulozi unakuwa mwingi.

Hii ya Dada wa Msuya bilionea niliwaza sana, je ni nini kilitokea ?
 
Back
Top Bottom