ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Ni chokochoko za mikia lia lia wa pale MsimbaziKwangu mimi Yanga kama timu tumejitahidi kwa kiasi kikubwa kufanya vizuri chini ya kocha Nabi kwa takriban msimu mwingine tena na kiukweli tutazidi kuimarika kadri timu inavyoendelea kuwa pamoja
Cha msingi tuone mapungufu yetu na kuyafanyia kazi lakini kama timu tupo vizuri na tutazidi kuwa bora
Tumwache kocha Nabi afanye kazi yake.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Acha ushabiki si uliona lile kandanda jana?Yanga Mmezoea kuhonga, kimataifa mmeshindwa kuhonga ndo mana hamapat ushindi
Malengo ya Yanga siyo kuishia kumfunga Simba au timu nyingine za ndani. Yanga walifanya usajili mzuri kiasi cha kuweza kufanya vizuri hata mashindano ya kimataifa. Nabi ameonyesha kwa vitendo kuwa hana uwezo wala mbinu za kushinda game za kimataifa. Akishindwa kuingia hatua ya makundi kombe la Shirikisho, asepe aje kocha mwingine.Kwangu mimi Yanga kama timu tumejitahidi kwa kiasi kikubwa kufanya vizuri chini ya kocha Nabi kwa takriban msimu mwingine tena na kiukweli tutazidi kuimarika kadri timu inavyoendelea kuwa pamoja
Cha msingi tuone mapungufu yetu na kuyafanyia kazi lakini kama timu tupo vizuri na tutazidi kuwa bora
Tumwache kocha Nabi afanye kazi yake.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Na nia yao tumuondoe tubaki bila kocha kama waoNi chokochoko za mikia lia lia wa pale Msimbazi
Na vipi atakayekuja akishindwa hata kutwaa ubingwa wa nbc ligi?Malengo ya Yanga siyo kuishia kumfunga Simba au timu nyingine za ndani. Yanga walifanya usajili mzuri kiasi cha kuweza kufanya vizuri hata mashindano ya kimataifa. Nabi ameonyesha kwa vitendo kuwa hana uwezo wala mbinu za kushinda game za kimataifa. Akishindwa kuingia hatua ya makundi kombe la Shirikisho, asepe aje kocha mwingine.
FactsKwangu mimi Yanga kama timu tumejitahidi kwa kiasi kikubwa kufanya vizuri chini ya kocha Nabi kwa takriban msimu mwingine tena na kiukweli tutazidi kuimarika kadri timu inavyoendelea kuwa pamoja
Cha msingi tuone mapungufu yetu na kuyafanyia kazi lakini kama timu tupo vizuri na tutazidi kuwa bora
Tumwache kocha Nabi afanye kazi yake.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Ukisema uwe na kocha ati achukue ubingwa wa afrika kwa viwango vyetu vya soka east/central africa basi utafukuza heta makocha miaUkishayaweka yakweka bayana malengo na matarajio ya usajili na gharama nyingine zilizotumika mpaka sasa kwaajili ya msimu huu, utapata jibu la either aachwe au akatafute changamoto sehemu nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona mnapenda kujifariji nyie viumbe?Na nia yao tumuondoe tubaki bila kocha kama wao
We kocha ana zaidi ya michezo 42 bila kufungwa eti leo unaona hafai..ni wivu tu wa simba
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Kumbe MAKOLOKOLO siku hizi ni mbuni FC? [emoji1]Kocha yupo vizuri sawa,ila sisi,mashabiki wa nchi hii bila kujali ni simba au yanga Matamanio yetu ni ushindi daima siyo ndani tu mpk nje ya nchi.Ndo maana hata mchezaji wa club fulani akiitwa Timu yake ya Taifa tunamfuatilia na kutaka acheze na afunge.Kiu ya mashabiki wa nchi hii ni kubwa sana na uvumilivu ni mdogo.Ukiwa falsafa yako ni unbeaten iwe hivyo mpk nje siyo hapa hapa kwa ihefu au mbuni fc.
MAKOLO sahauni kuhusu huyo Kocha, tumeshawajua mnajificha kwenye kichaka ili asiendelee kuwapa dozi ya kichapo kwenye mishono [emoji1787]Nabi wa kazi gani sasa,ana wachezaji wazuri lakini mbinu hana ni lazima Yanga tufanye maamuzi magumu.makocha wapo wengi yeye sio wa kwanza,ebo!
Kati ya yanga na hiyo al hilal ni nani anakikosi ghali?.Malengo ya Yanga siyo kuishia kumfunga Simba au timu nyingine za ndani. Yanga walifanya usajili mzuri kiasi cha kuweza kufanya vizuri hata mashindano ya kimataifa. Nabi ameonyesha kwa vitendo kuwa hana uwezo wala mbinu za kushinda game za kimataifa. Akishindwa kuingia hatua ya makundi kombe la Shirikisho, asepe aje kocha mwingine.