ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Kwangu mimi Yanga kama timu tumejitahidi kwa kiasi kikubwa kufanya vizuri chini ya kocha Nabi kwa takriban msimu mwingine tena na kiukweli tutazidi kuimarika kadri timu inavyoendelea kuwa pamoja
Cha msingi tuone mapungufu yetu na kuyafanyia kazi lakini kama timu tupo vizuri na tutazidi kuwa bora
Tumwache kocha Nabi afanye kazi yake.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Cha msingi tuone mapungufu yetu na kuyafanyia kazi lakini kama timu tupo vizuri na tutazidi kuwa bora
Tumwache kocha Nabi afanye kazi yake.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app