Ina maana sasa tuwe na kazi ya kufukuza makocha tu..maana kama tutakosa uvumilivu basi hata aje nani ataonekana hafai
Hivi leo hii Yanga tukimleta Pep guardiola na wachezaji hawa itawezekana tubebe kikombe cha afrika?
Sent from my SM-A205F using
JamiiForums mobile app