Ni upuuzi kufikiria kumuondoa Kocha Nabi

Hii nchi sasa hivi INA ugonjwa was USHABIKI MSUKULE kwenye Moira, Siasa, Muziki.

Yaani kuna lindo LA nyumbu hazitumiii akili kabisa.
 
ndio tunabeba,Yanga tuna wachezaji wenye kiwango kikubwa na hao ndo wanaficha madhaifu ya Nabi.
kwanza kubali Nabi hana mbinu za ziada,Mungu saidia Bangala,Aucho na Mayele wasipate injury za mara kwa mara au za muda mrefu Yanga ita stragle sana kupata ushindi.

Yanga daima,mbele mwiko nyuma mwiko[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…