Ni upuuzi kujiaminisha na barakoa feki

Ni upuuzi kujiaminisha na barakoa feki

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Ni upuuzi kwa Tanzania na dunia kujiaminisha na uvaaji wa barakoa ambazo kimsingi sio barakoa sahihi za kuzuia virusi vya Corona.

Kwa mujibu wa wanasayansi barakoa inayoweza kumzuia kirusi wa corona ni barakoa ya aina ya N95 yaani yenye uwezo wa asilimia 95 kuzuia maambikizi. hivyo barakoa zaidi ya N95 ni barakoa ya show off na pengine inakufanya uwe uncomfortable tu.

Inawezekana barakoa za kawaida zikasaidia hasa kwa wale wenye dalili za mafua na kikohozi ili wasirushe makohozi au droplets.

Kwa andiko hili napenda kuwasisitiza jamii, wataalamu, na wanasiasa kuwa tujihadhari tukiwa na uelewa wa kutosha na tuache show off.

Barakoa ivaliwe kwa mwenye dalili za mafua au kifua na pale ambapo unapoenda kwenye mkusanyiko ambao ndani yake kuna watu wanakohoa au mafua.

Uvaaji wa barakoa kwa muda mrefu unaweza kukuathiri kwa kukosa hewa safi ya Mungu na pengine chembechemmbe za nguo kukuingia na kujisikia vibaya.

Wito wangu kwa watanzania ni kuwa tuvae barakoa kwa kuzingatia tahadhari na viashiria vya maambukizi ya magonjwa ya njia ya hewa.

Kamwe tusiwe wapuuzi kuiga na kutekeleza ushauri wa kihuni. Kama kuna mwansayansi wa kupinga andiko langu ajitokeze.

Halafu tusikubali kudanganywa na wapuuzi wasioijua.

IMG-20210627-WA0135.jpg

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Sijui kwanini mtu akivaa barakoa naona kama ana ugonjwa wa akili?

Unakuta hata liaskofu limejibandika barakoa usoni! Ati anajikinga na corona!! Whaaatt!!!

Tulipofika, hata niliokuwa nawaona wana akili kumbe ni majuha tu!

Upumbavu wa kuvaa mabarakoa ni upumbavu unaonisisimua sana!

Kwa sasa, hayo mabarakoa yamekuwa kama fasheni ya kitapeli tu!

Mtu akitaka kupata kiki ya kisiasa au kusifiwa na mabeberu, basi anajitwika zigo la barakoa usoni! Ati ndio usomi!
 
Ukweli mtupu wanajua mioyoni mwao roho zinawasuta wakitambua wanafamilia wao ktk ukoo hawana time na barakoa and life goes on
 
Unajua kupima ubora wa barakoa?

Tupe namna utakavyoitambua barakoa sahihi na isiyo sahihi?

Pia barakoa na nyungu kipi bora.?
 
• The use of face masks may provide a false sense of security leading to suboptimal physical distancing, poor respiratory etiquette and hand hygiene – and even not staying at home when ill.

•There is a risk that improper removal of the face mask, handling of a contaminated face mask or an increased tendency to touch the face while wearing a face mask by healthy persons might actually increase the risk of transmission.
 
Uvaaji wa barakoa umekaa kisanii na kisiasa zaidi. Pengine inasisitizwa kuvaa kwenye hadhara za kiserikaoi na unapoingia ofisi za j I'm not taasisi za umma ti
 
Ni upuuzi kwa Tanzania na dunia kujiaminisha na uvaaji wa barakoa ambazo kimsingi sio barakoa sahihi za kuzuia virusi vya Corona.

Kwa mujibu wa wanasayansi barakoa inayoweza kumzuia kirusi wa corona ni barakoa ya aina ya N95 yaani yenye uwezo wa asilimia 95 kuzuia maambikizi...
Unaamsemea Mfu.

Ilishamgonga na ubozi wake.
Uvaaji wa barakoa kwa muda mrefu unaweza kukuathiri kwa kukosa hewa safi ya Mungu na pengine chembechemmbe za nguo kukuingia na kujisikia vibaya.
Utumbo wa majitaka.
 
• The use of face masks may provide a false sense of security leading to suboptimal physical distancing, poor respiratory etiquette and hand hygiene – and even not staying at home when ill...
Hizi ni tahadhari kwa mvaaji wa barakoa azifuatilie..na si athari za kuvaa barakoa.

Nenda ka google ulete zingine tuzipangue.
 
Unajua hata nini maana ya SpO2, haya nenda ka google ujifunze na pia uniambie kiwango cha hewa ya huyo mungu wako ina asilimia ngapi ya hewa zote tofauti. Ukishajifunza ni nini?

Angalia hii video kuhusu uhusiano wa kuvaa barakoa na kiwango cha SpO2 kwenye mwili. Anazivaa barakoa kadhaa ili kutengua utopolo na huyu ni Dr.

Note: Angalia namba ya 99% wenye kifaa tiba, hii ndio SpO2.

 
Back
Top Bottom