Ni upuuzi kujiaminisha na barakoa feki

Ni upuuzi kujiaminisha na barakoa feki

Tahadhari zisipofuatwa matokeo yake hutokea madhara hata hilo umeshindwa kulijua kweli? sasa sijui unategemea matumizi yasio sahihi ya barakoa yatakukinga na corona?

Nime Google nyengine hii:

Face masks are not well tolerated by certain population groups (e.g. children) or by persons with chronic respiratory disease.
Ni hivi
Watoto hawakuambiwa wavae barakoa, hata kwa mabeberu hakuna watoto wanao vaa barakoa..
Na kuna watu waliothibitisha kutoweza kuvaa barakoa kwa sababu ya mapungufu yao kiafya, hawa wamekubaliwa kutovaa..
 
Ni hivi
Watoto hawakuambiwa wavae barakoa, hata kwa mabeberu hakuna watoto wanao vaa barakoa..
Na kuna watu waliothibitisha kutoweza kuvaa barakoa kwa sababu ya mapungufu yao kiafya, hawa wamekubaliwa kutovaa..
Hapo nadhani nishaeleweka sasa tuje kwenye matumizi yasio sahihi ya uvaaji barakoa, maana hapo pasipo zingatiwa tutakuwa tunadanganyana na huo uvaaji wa barakoa.
 
Back
Top Bottom