Ni upuuzi kuongea mambo ya ofisini kwenu maeneo ambayo hayahusiki na kazi

Ni upuuzi kuongea mambo ya ofisini kwenu maeneo ambayo hayahusiki na kazi

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Leo kidogo nitakuwa mkali

Nina mashaka kama bado ofisi za umma zinafundisha watumishi wake miiko ya kazi. Sina uhakika kama hawa watu wanakumbushwa namna ya ku behave wakiwa maeneo tofauti na ofisi zao.

Unakuta maafisa wapo bar au sehemu ya chakula au hata kwenye basi, wanaongelea masuala ya ofisini kwao. Wanaleta stori za madokezo sabili kwenye bar. Huo ni upuuzi. Code of Ethics zinakataza kabisa hiyo kitu. Lakini licha ya code of ethics kukata hata kwa akili zako za shule na kuzaliwa hazikuambii kama hapo sio mahala pake?

Ni kama hawa watu ni weupe vichwani kiasi kwamba mbali na issues za ofisi hana tena jipya jingine. Ongelea hata masuala ya uchumi basi, chambua basi hata mustaklabali wa elimu yetu. Huwakuti hata wanaongelea mlo kamili kujenga afya zao. Au kuchambua katiba mpya. Stori zao ni umbea na madokezo. Sijui DED hivi DC vile. Hasa watumishi wa Halmashauri ni kero.

My Take
Serikali kumbusheni watumishi wenu code of ethics
 
Leo kidogo nitakuwa mkali

Nina mashaka kama bado ofisi za umma zinafundisha watumishi wake miiko ya kazi. Sina uhakika kama hawa watu wanakumbushwa namna ya ku behave wakiwa maeneo tofauti na ofisi zao.

Unakuta maafisa wapo bar au sehemu ya chakula au hata kwenye basi, wanaongelea masuala ya ofisini kwao. Wanaleta stori za madokezo sabili kwenye bar. Huo ni upuuzi. Code of Ethics zinakataza kabisa hiyo kitu. Lakini licha ya code of ethics kukata hata kwa akili zako za shule na kuzaliwa hazikuambii kama hapo sio mahala pake?

Ni kama hawa watu ni weupe vichwani kiasi kwamba mbali na issues za ofisi hana tena jipya jingine. Ongelea hata masuala ya uchumi basi, chambua basi hata mustaklabali wa elimu yetu. Huwakuti hata wanaongelea mlo kamili kujenga afya zao. Au kuchambua katiba mpya. Stori zao ni umbea na madokezo. Sijui DED hivi DC vile. Hasa watumishi wa Halmashauri ni kero.

My Take
Serikali kumbusheni watumishi wenu code of ethics
Kweli kabisa
 
Leo kidogo nitakuwa mkali

Nina mashaka kama bado ofisi za umma zinafundisha watumishi wake miiko ya kazi. Sina uhakika kama hawa watu wanakumbushwa namna ya ku behave wakiwa maeneo tofauti na ofisi zao.

Unakuta maafisa wapo bar au sehemu ya chakula au hata kwenye basi, wanaongelea masuala ya ofisini kwao. Wanaleta stori za madokezo sabili kwenye bar. Huo ni upuuzi. Code of Ethics zinakataza kabisa hiyo kitu. Lakini licha ya code of ethics kukata hata kwa akili zako za shule na kuzaliwa hazikuambii kama hapo sio mahala pake?

Ni kama hawa watu ni weupe vichwani kiasi kwamba mbali na issues za ofisi hana tena jipya jingine. Ongelea hata masuala ya uchumi basi, chambua basi hata mustaklabali wa elimu yetu. Huwakuti hata wanaongelea mlo kamili kujenga afya zao. Au kuchambua katiba mpya. Stori zao ni umbea na madokezo. Sijui DED hivi DC vile. Hasa watumishi wa Halmashauri ni kero.

My Take
Serikali kumbusheni watumishi wenu code of ethics
sio hivyo tu kimsingi watu hawana tena privacy hata kwenye mambo yao ya familia, utakuta mtu anaposti kila kitu mara sijui niko wapi mara sijui nimekula nini mara huyu sijui mtoto wangu wa ngapi, yaani mitandao pia imewaweka watu uchi sana lakini wala hawatambui kwa ushamba wao wanaona sawa tu.
 
Sasa watajuaje sisi ni maafisa?

Lazima tuzungumze, ili wahudumu watupe huduma VIP, huku tukiweka mikakati ya kuwatandika. Walio kando watuogope, na hata tupate fursa ya Mkopo wa kinywaji 🤣🤣. Nina dokezo langu la safari, Nalamba Per diem ya 500k kwa siku.

Lazima aliyeko pembeni yangu ashtuke kubabake.

Watumishi mna mambo.
 
Leo kidogo nitakuwa mkali

Nina mashaka kama bado ofisi za umma zinafundisha watumishi wake miiko ya kazi. Sina uhakika kama hawa watu wanakumbushwa namna ya ku behave wakiwa maeneo tofauti na ofisi zao.

Unakuta maafisa wapo bar au sehemu ya chakula au hata kwenye basi, wanaongelea masuala ya ofisini kwao. Wanaleta stori za madokezo sabili kwenye bar. Huo ni upuuzi. Code of Ethics zinakataza kabisa hiyo kitu. Lakini licha ya code of ethics kukata hata kwa akili zako za shule na kuzaliwa hazikuambii kama hapo sio mahala pake?

Ni kama hawa watu ni weupe vichwani kiasi kwamba mbali na issues za ofisi hana tena jipya jingine. Ongelea hata masuala ya uchumi basi, chambua basi hata mustaklabali wa elimu yetu. Huwakuti hata wanaongelea mlo kamili kujenga afya zao. Au kuchambua katiba mpya. Stori zao ni umbea na madokezo. Sijui DED hivi DC vile. Hasa watumishi wa Halmashauri ni kero.

My Take
Serikali kumbusheni watumishi wenu code of ethics
Watanzania tunapenda majungu na kujadili watu, hizi ni akili ndogo
 
Leo kidogo nitakuwa mkali

Nina mashaka kama bado ofisi za umma zinafundisha watumishi wake miiko ya kazi. Sina uhakika kama hawa watu wanakumbushwa namna ya ku behave wakiwa maeneo tofauti na ofisi zao.

Unakuta maafisa wapo bar au sehemu ya chakula au hata kwenye basi, wanaongelea masuala ya ofisini kwao. Wanaleta stori za madokezo sabili kwenye bar. Huo ni upuuzi. Code of Ethics zinakataza kabisa hiyo kitu. Lakini licha ya code of ethics kukata hata kwa akili zako za shule na kuzaliwa hazikuambii kama hapo sio mahala pake?

Ni kama hawa watu ni weupe vichwani kiasi kwamba mbali na issues za ofisi hana tena jipya jingine. Ongelea hata masuala ya uchumi basi, chambua basi hata mustaklabali wa elimu yetu. Huwakuti hata wanaongelea mlo kamili kujenga afya zao. Au kuchambua katiba mpya. Stori zao ni umbea na madokezo. Sijui DED hivi DC vile. Hasa watumishi wa Halmashauri ni kero.

My Take
Serikali kumbusheni watumishi wenu code of ethics
Azizi Ki
 
Back
Top Bottom