The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
- Thread starter
-
- #201
:mod::mod::mod::mod:Finest kama kawaida yako mzee wa Kuharibu
sasa ni hivi...
nakuachia kwa mara nyingine LONER uchat nae wewe....!
Wakati mwingine mtu anaweza kufanya mambo ya kukuumiza moyo na sio kwamba anafanya makusudi bali ni kujisahau kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu
Unajua katika mapenzi unaweza ukaishi na mtu akakupa tabu sana,ila uvumilivu ni kitu cha busara,kwani inawezekana akakusumbua sana,akukera kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu lakini bado unahitaji kuendelea kuwa naye maana licha ya kukukera ,ila anakupenda kwa dhati. kumbuka kuwa uvumilivu ni nguzo ya pekee ili tuweze kufika mbali katika mahusiano ukizingatia kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha.
Tusiachane jamani embu fikiria utaacha au kuachwa na wangapi kama ukiwa si mvumilivu,wakati mwingine mtu anaweza akakukera lakini hakukusudia bado anahitaji uwepo wako hivyo ni muhimu kumsaidia kutokana na matatizo aliyonayo huenda kuna siku ataelewa vipi aishi na mwenzie,ingawa inawezekana ikachukua muda mrefu hasa kama atakuwa hapendi kufanyia kazi ushauri wa mwenzake.
UVUMILIVU NI WA MUHIMU KWANI VINGINEVYO HATUTAFIKA NA PIA NI MUHIMU KUYAGUNDUA MAPUNGUFU ULIYONAYO ILI UJIREKEBISHE.
Ni hayo tu.
ntaandaa yako binafsi hata day trip,,,ila uwe mvumilivu
:fear::fear::fear::fear:who is who??ni pale unapogonganisha magari!mi simo..............
Jamani mkinionea Michelle mwambieni nishakoma huku arudi tu tuvumiliane
WE huyu mume wangu...Umeongea vizuri sana sijui mkaka au mdada??? Hongera
Umeongea vizuri sana sijui mkaka au mdada??? Hongera
Nakupendea hilo tu.....niko kwa ajili yako....na nitakuwepo hadi ule wakati wa kuvuli....
umeona eeh!?
fanya hivyo bwana
:fear::fear::fear::fear:
mmmhhhh, am sorry if i have dissapointed you again...
I think i can keep promises......
just that,yesterday you promised me if i change my avatar you will give me a surprise......i did change it and until now,i have not received any surprise....so since you promised me on public,am demanding it here........
ntakujulisha kuleeeeeee,,huyu mnoko fainesti asione
Guardian angel.....huyo GY nimemuambia nampendea jambo moja tu (kujirudi).....H nampenda kwa yote......hakuna kitu nisichokipenda kwake...vipi tena kuhusu H??
WE huyu mume wangu...
can you keep your promises?
Nakupendea hilo tu.....niko kwa ajili yako....na nitakuwepo hadi ule wakati wa kuvuli....
dont worry im watching over u...lol