Ni ushauri tu: You can either take it or leave it


Umeongea vizuri sana sijui mkaka au mdada??? Hongera
 
Jamani mkinionea Michelle mwambieni nishakoma huku arudi tu tuvumiliane

Nakupendea hilo tu.....niko kwa ajili yako....na nitakuwepo hadi ule wakati wa kuvuli....
 
Kufikia hapo nipo falsafa ya watu sensitive kwenye mambo makubwa makubwa kua incapable kwenye masuala madogo madogo....binafsi nipo strictly sana na naongozwa na kanuni sana kiasi wakati mwingine hua naumia na maamuzi yangu binafsi japo hayana uonevu...huwa siamini ktk bahati mbaya,kosa lolote huwa nafikiria uzembe na kuchukua hatua stahiki kisha huruma inakuja baadae!
 

how about surprising you privately.....
 
Nakupendea hilo tu.....niko kwa ajili yako....na nitakuwepo hadi ule wakati wa kuvuli....

Umeona eee.....haya lini utaacha kuvuta nyota ili nami niache kupiga valuu....ili sasa tuvu.....ne
 
Samahani sikujua dada asante kwa kunitaarifu

Hamna neno
karibu sana dear
na samahani kama nimektisha kidogo...



na nimekupa senks yako ya kwanza hahahahah lol
The Following User Says Thank You to Mlimazunzu For This Useful Post:

afrodenzi (Today)​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…