The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
- Thread starter
-
- #321
Kwanza how are things going between you and my brotherNawe niku-bribe jamani?? sa nitaku-bribe nini? utakuwa unam-bribe kaka yako as ndo mwenye vyote nilivyo navyo.....kesi ya nini kaka yangu TF???:coffee:
Nilikuwa nashangaa tu laiti ungeniona ungejua tu huyu sio viwanja vyake either amekuja kwa kulazimishwa kuna vituko kule acha tu nafikiri unavifahamu nikianza kuvizungumzia hapa ni sooWalikutuza mtoto wa watu,mambo yale hukuzoea...naomba niishie hapo???? vipi uliweza weka vidole juu???kama nakuona walahiii!!!
Kwanza how are things going between you and my brother
Nilikuwa nashangaa tu laiti ungeniona ungejua tu huyu sio viwanja vyake either amekuja kwa kulazimishwa kuna vituko kule acha tu nafikiri unavifahamu nikianza kuvizungumzia hapa ni soo
:scared::scared::scared::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::faint::faint::hail::hail::hail:😛ray2:😛ray2:😛ray2:Vere vere well,kikao kimeenda vizuri,tumefikia sehemu ya kugawana mali....ndo tukirudi after break tunapanga nani achukue kipi!!!!:coffee:
Acha tu mimi huwa sio viwanja vyangu kabisa hivyo siku nilichoka hata saa nzima sikumaliza nilitoka ndukiiTaarab mi penda na huenda,na waga nafurahia sana....vituko vipo vingi sana ila kusema ukweli yahitaji ujilipue kidogo ndo uende..ukienda na fahamu na reasoning yako....utashangaa sana na hata kuzimia....kuona jinsia yako waki........duh,waweza ua mtu....na ulivyo mzuri....mh
Where have you been hiding unapotea sana
:scared::scared::scared::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::faint::faint::hail::hail::hail:😛ray2:😛ray2:😛ray2:
Mjukuu nashukuru kwa ushauri wako uliojaa hekima na busara nyingi ni kweli uvumilivu una kikomo chake kuna vitu havivumiliki kabisaThe Finest .........Hongera sana this is the Post that opens year 2011..............I salute
In addition to what you have said, inategemea na situations but know that UVUMILIVU wa kila kitu una ukomo and that some people ni masadist ambao hupenda kuumiza wenzi wao na kuwaona wanavyowanyenyekea kiuoga.so kwa mtu kama huyo it will take ages to see the fruits of your Uvumilivu.
Cha msingi know your limits......unavumilia mpaka wapi. Uspokuwa na limits ina maana mwezio kama ni sadist atatake advantage. Mjuishe your limits kuwa kuna vitu na vitu unavyoweza kuvumilia but certainly some things you cant..............am just thinking wakati wa UBoyfriend na Girlfriend Boyfriend au Girlfriend anakuwa anakuwasha vibao kila mkikorofishana nawe unavumilia ina maana hata mkioana then atachukulia kuwa ile ni kawaida.......you have to show him/her your limits ambazo you cant tolerate...........
But all in all you are very RIGHT
The Finest .........Hongera sana this is the Post that opens year 2011..............I salute
In addition to what you have said, inategemea na situations but know that UVUMILIVU wa kila kitu una ukomo and that some people ni masadist ambao hupenda kuumiza wenzi wao na kuwaona wanavyowanyenyekea kiuoga.so kwa mtu kama huyo it will take ages to see the fruits of your Uvumilivu.
Cha msingi know your limits......unavumilia mpaka wapi. Uspokuwa na limits ina maana mwezio kama ni sadist atatake advantage. Mjuishe your limits kuwa kuna vitu na vitu unavyoweza kuvumilia but certainly some things you cant..............am just thinking wakati wa UBoyfriend na Girlfriend Boyfriend au Girlfriend anakuwa anakuwasha vibao kila mkikorofishana nawe unavumilia ina maana hata mkioana then atachukulia kuwa ile ni kawaida.......you have to show him/her your limits ambazo you cant tolerate...........
But all in all you are very RIGHT
The Finest .........Hongera sana this is the Post that opens year 2011..............I salute
In addition to what you have said, inategemea na situations but know that UVUMILIVU wa kila kitu una ukomo and that some people ni masadist ambao hupenda kuumiza wenzi wao na kuwaona wanavyowanyenyekea kiuoga.so kwa mtu kama huyo it will take ages to see the fruits of your Uvumilivu.
Cha msingi know your limits......unavumilia mpaka wapi. Uspokuwa na limits ina maana mwezio kama ni sadist atatake advantage. Mjuishe your limits kuwa kuna vitu na vitu unavyoweza kuvumilia but certainly some things you cant..............am just thinking wakati wa UBoyfriend na Girlfriend Boyfriend au Girlfriend anakuwa anakuwasha vibao kila mkikorofishana nawe unavumilia ina maana hata mkioana then atachukulia kuwa ile ni kawaida.......you have to show him/her your limits ambazo you cant tolerate...........
But all in all you are very RIGHT
Leney....frankly speaking I dont know if ni malezi au wamezaliwa hivyo........and mind you sadist people si lazima waexpress usadist wao katika mapenzi tu kuna wengine huwa wana hiyo passion yaani akiamua kutokupenda kukuona wewe unafaidi au unafurahia maisha basi kama anayo nafasi atamake sure unasuffer.....whether kimapenzi au lah.........They just love to see other people suffers.mmmmhhhh....
Hivi hao watu waliumbwa hivo au ni kutokana na malezi?????
Do you think kwa kuwa ni ma sadists basi wanakusudia kuwaumiza wapenzi wao?????
Wakati mwingine mtu anaweza kufanya mambo ya kukuumiza moyo na sio kwamba anafanya makusudi bali ni kujisahau kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu
Unajua katika mapenzi unaweza ukaishi na mtu akakupa tabu sana,ila uvumilivu ni kitu cha busara,kwani inawezekana akakusumbua sana,akukera kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu lakini bado unahitaji kuendelea kuwa naye maana licha ya kukukera ,ila anakupenda kwa dhati. kumbuka kuwa uvumilivu ni nguzo ya pekee ili tuweze kufika mbali katika mahusiano ukizingatia kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha.
Tusiachane jamani embu fikiria utaacha au kuachwa na wangapi kama ukiwa si mvumilivu,wakati mwingine mtu anaweza akakukera lakini hakukusudia bado anahitaji uwepo wako hivyo ni muhimu kumsaidia kutokana na matatizo aliyonayo huenda kuna siku ataelewa vipi aishi na mwenzie,ingawa inawezekana ikachukua muda mrefu hasa kama atakuwa hapendi kufanyia kazi ushauri wa mwenzake.
UVUMILIVU NI WA MUHIMU KWANI VINGINEVYO HATUTAFIKA NA PIA NI MUHIMU KUYAGUNDUA MAPUNGUFU ULIYONAYO ILI UJIREKEBISHE.
Ni hayo tu.
Leney....frankly speaking I dont know if ni malezi au wamezaliwa hivyo........and mind you sadist people si lazima waexpress usadist wao katika mapenzi tu kuna wengine huwa wana hiyo passion yaani akiamua kutokupenda kukuona wewe unafaidi au unafurahia maisha basi kama anayo nafasi atamake sure unasuffer.....whether kimapenzi au lah.........They just love to see other people suffers.
By the way...........Jamani mie mwoga huku maeneo ya Mlimani City nimesikia vitu kama Fataki (Au bunduki!!) Naomba kujua leo Mlimani City kuna sherehe yeyote???
La muhimu ni kujua kwamba hajakusudia, sasa hapo ndo pagumu! Anakurera kila baada ya cku moja, ila hajakusudia! Hivi ndo nini hicho? Utajuaje? Unamsaheme then anarudia, kafanya mazoea ila hajakusudia!!!! That's very fun ! When it reaches the point of no return, na yeye unamwadabisha hata kama hajakusudia.