Mimi kabla sijawa na mpenzi (for a veeeeery looong tym, maana sikutaka hii mikikimikiki) nilikua very up to the point, straight forward, no uvumilivu, "you pay for your actions"...mmmhhh kumbe nilikua sijapenda bwana.
Nimekuwa na huyu mpenzi mmoja kwakweli wakati naingia kwenye mapenzi nilisema I need a man, if God wishes let this one b the only man in my life, so sikuwa na lengo la "nakuja leo, ukinizingua kidogo tu naondoka kesho", hii imenisaidia sana, sometimes tunagombana mpaka natetemeka, nasema kesho nikiamka AM SO DONE WITH THIS CRAP, ila nikimpigia, au tukikutana, tukianza kuongea na kujadili we always, always reach to a suluhisho, hii ni kwa sababu wote wawili tuna lengo moja, just as The Finest said, we fight for what we have, lakini hio haimaanishi kwamba hatugombani...sasa utakuta mmoja yuko willing kuvuka milima na mabonde, ila mwenzie daaaah anajiona kama dhahabu, yani yeye ana mentality ya "sema su, am gone" that can never work.
COMMUNICATION Na kumuelewa mtu is the key, ni lazima mjuane, sio wananaume/wanawake wote wanaability za ku communicate, jee can you see beyond his/her communication? maana mi wakwangu ni mkimya au mzito kiasi flani kuongea, thats not an excuse but its a fact, kama nampenda siwezi siwezi kumsulubisha kwa sababu ya alivoumbwa, I have to take that into consideration, ila sasa na yeye upande wake ananielewa kuwa mi mpenziwe ni maneno mengi, so he sees past that................. it takes two to tangle......