Ni ushauri tu: You can either take it or leave it

Ama kweli mapenzi kizunguzungu ushamsamehe mara hii na umechukua nyumba?? Ha ha ha ha mie sisamehi na wala sina uvumilivu bana. Ukiniudhi nakupiga chini tu

hebu rudi chumbani nisikasirike si umeshachukua ushauri au kuacha?
 
Michelle tumevumuliana vya kutosha, unaonaje tupande stage sasa

mmmhhhh nitawavulia wangapi jamani.....unikome kabisa.....alokutuma mwambie ulinikuta nimetoka,umeelewa??

 
UVUMILIVU ni mradi wa Hasara....!

Infact hata biznec proposal yake haiwezi kabisa kuangaliwa na DONAAAZ

naandaa proposal ya kuvumilia kukukosa hapa!finest atakuwa donor
 
MAGONJWA YA KISUKARI,SHINIKIZO LA DAMU NA KIHARUSI yanasababishwa na kile kinachoitwa ''uvumilivu'' kwa wahanga wa magonjwa hayo,imefahamika
 
mmmhhhh nitawavulia wangapi jamani.....unikome kabisa.....alokutuma mwambie ulinikuta nimetoka,umeelewa??


Duh ntavumilia tu, ila kukoma sitakoma, kwahiyo nimwambie NIMEKUKUTA umetoka sio
 
mama watoto siwezi kufikia to the extent ya ile situation

haina neno mpenzi
asante sana lakini...

ukirudi nyumbani kutoka kazini uje moja kwa moja................. utanikuta................ ntakupa.................. anza kuondoha nguo ukiingia tu mlangoni haah lol
 
Me and you will always adhere to the same situations so we must get something suitable for us...you know what i mean
Ki mpango mkakati! onyesha busara zake watu wapime uvumilivu wako...........Nimekusoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…