Ni utapeli au napoteza bahati?

Majibu umeshapewa ni wakati wako Sasa kum frustrate. Kama unamuda wa kuchezea mchezeee mchezo iliishi kwenye matumaini ya kupata. Mzushie na wewe kuna deal la maliii umepiga sema linahitaji Hela kidogo tu litick, atume kiasi kidogo tu ukimaliza utamchk
 
Yahoo boys ,advance fee scams. matapeli hao . kwanini asikutumie tanzania
 
Hahaaa ad hapo umeliwaa, umepigiwa kitu kizito hujiulz Kwann ndege za tz zisiwepo na Kwann utume ela ya kusafirishia, in short hyo tapel ameadvanc kdg
 
Hapo wanataka kukupiga kmmk Hao ni yahoo boys hakuna cha mzungu wala nini wanataka kukugeuza fursa wa- Nigeria wasenge Sana
 
Huu utapeli mbona wa zamani, hata watu wa Facebook hawaibiwi, wewe unafanya nn humu jf kama huu utapeli huujui?

Nilifika Moshi nikakuta kazini mtu kaibiwa kwa staili hii nilimcheka sana
 
Kwa hiyo mzungu aliamua akupe tu hiyo zawadi ya Iphone?.
 
Huu mchezo nilichezewa 2014 nikasanuka, mwaka huohuo kachezewa rafiki yangu sema nae ni mkanja 😁
 
Mbona kama Hiki kisa kilishawai letwa hapa JF.... Ushauri ulikuwa hivi hao ni matapeli kama matapeli wengine kaa chonjo ukituma Hela hio ndoo imeenda
 
Utakufa Vibaya Wewe
Nakuonea Huruma Sana
Ina Magembe Voice




Unapigwa Mchana Kweupe Kuku Wanaona
 
Alafu unaweza kuta sio mzungu ni waafrika hawa hawa wanajua kuna Mtu ataingia kingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…