Ni uzalendo uchwara kulazimisha kila Mtanzania kumchukia Kagame

Ni uzalendo uchwara kulazimisha kila Mtanzania kumchukia Kagame

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kumeibuka kundi la Watanzania ambao wanakerwa sana na Watanzania wenzao wanaomkubali Kagame. Hili kundi lililojivisha kilemba cha uzalendo wanawachukulia Watanzania wenzao wasiomchukia Kagame kama vile ni wasaliti wa nchi. Hii sio sawa, hakuna mwenye hatimiliki ya uzalendo.

Kama wewe unamchukia Kagame kwa kuamini yeye ndiye chanzo cha matatizo yote ya Congo wapo wengine pia wenye mawazo tofauti na hayo.

Wapo wengine wanaofikiri ameifanya Rwanda kuwa nchi nzuri kwa mambo wanayoyapenda wao na kuyapa kipaumbele. Mtanzania kumkubali Kagame isihesabiwe ni usaliti kwa nchi yake au kukosa uzalendo.
 
Actually mm nilikua nisuelewi Kagame. Lakini siku nika dig deeper kufuatilia historia yake, pamoja na misimamo yake jamaa ana kitu ambacho viongozi wengi wa Africa hawana ni kama kiongozi ambae alitakiwa awe ulaya akaangukia ardhi ya Africa hapindishagi.
Na kuhusu hayo makundi Kagame is not all to blame kuna parties nyingi sana zinahusika nyuma ya pazia ambazo watu wengi wasiofatilia kiundani wataishia kumnyooshea vidole.
 
Actually mm nilikua nisuelewi Kagame. Lakini siku nika dig deeper kufuatilia historia yake, pamoja na misimamo yake jamaa ana kitu ambacho viongozi wengi wa Africa hawana ni kama kiongozi ambae alitakiwa awe ulaya akaangukia ardhi ya Africa hapindishagi.
Na kuhusu hayo makundi Kagame is not all to blame kuna parties nyingi sana zinahusika nyuma ya pazia ambazo watu wengi wasiofatilia kiundani wataishia kumnyooshea vidole.
Sahihi kabisa mkuu
 
Actually mm nilikua nisuelewi Kagame. Lakini siku nika dig deeper kufuatilia historia yake, pamoja na misimamo yake jamaa ana kitu ambacho viongozi wengi wa Africa hawana ni kama kiongozi ambae alitakiwa awe ulaya akaangukia ardhi ya Africa hapindishagi.
Na kuhusu hayo makundi Kagame is not all to blame kuna parties nyingi sana zinahusika nyuma ya pazia ambazo watu wengi wasiofatilia kiundani wataishia kumnyooshea vidole.
Huyo mwizi wa kazi gani? Ana tofauti gani na nduli iddi amin ambaye alifanya kama hayo Tz?

Iddi amin angefanikiwa ungemuona shujaa na misimamo yake ya kutaka kuichukua Tz kuwa sehemu ya nchi yake?
 
Huyo mwizi wa kazi gani? Ana tofauti gani na nduli iddi amin ambaye alifanya kama hayo Tz?

Iddi amin angefanikiwa ungemuona shujaa na misimamo yake ya kutaka kuichukua Tz kuwa sehemu ya nchi yake?
Uzuri tupo tunajionea......acha shoo iendelee mwisho wa siku jawabu litapatikana
 
Huyo mwizi wa kazi gani? Ana tofauti gani na nduli iddi amin ambaye alifanya kama hayo Tz?

Iddi amin angefanikiwa ungemuona shujaa na misimamo yake ya kutaka kuichukua Tz kuwa sehemu ya nchi yake?
Its obvious tutapishana mtazamo kulingana na vyazo vya information ambapo tumepata taarifa. Kwa kufuatilia kwangu kiundani naona agenda zake zipo logical.
 
Kumeibuka kundi la Watanzania ambao wanakerwa sana na Watanzania wenzao wanaomkubali Kagame. Hili kundi lililojivisha kilemba cha uzalendo wanawachukulia Watanzania wenzao wasiomchukia Kagame kama vile ni wasaliti wa nchi. Hii sio sawa, hakuna mwenye hatimiliki ya uzalendo.

Kama wewe unamchukia Kagame kwa kuamini yeye ndiye chanzo cha matatizo yote ya Congo wapo wengine pia wenye mawazo tofauti na hayo.

Wapo wengine wanaofikiri ameifanya Rwanda kuwa nchi nzuri kwa mambo wanayoyapenda wao na kuyapa kipaumbele. Mtanzania kumkubali Kagame isihesabiwe ni usaliti kwa nchi yake au kukosa uzalendo.

Kama sio vurugu za Kongo wanajeshi wetu wangekua na maisha magumu sana.

Huenda uhalifu uliokua unatokea miaka ya 90 ungejirudia .
Serikali haina uwezo wa kuwalipa mishahara wanajeshi wakaishi maisha bora . Wamiliki hata nyumba na gari maana mishshra yao haikidhi maisha ya kusomesha watoto na kubaki na akiba . Lakini tushukuru na kulaumu vita vya Kongo maana anajeshi wetu wanapata pesa nyingi na kuboresha maisha yao ambayo yangekua magumu sana hasa ikizingatia kuwa wanajeshi wengi kamba zao ni fupi sana haziwapi fursa ya kula .


Kagame ni mkombozi wa Afrika mashariki .
 
Kama sio vurugu za Kongo wanajeshi wetu wangekua na maisha magumu sana.

Huenda uhalifu uliokua unatokea miaka ya 90 ungejirudia .
Serikali haina uwezo wa kuwalipa mishahara wanajeshi wakaishi maisha bora . Wamiliki hata nyumba na gari maana mishshra yao haikidhi maisha ya kusomesha watoto na kubaki na akiba . Lakini tushukuru na kulaumu vita vya Kongo maana anajeshi wetu wanapata pesa nyingi na kuboresha maisha yao ambayo yangekua magumu sana hasa ikizingatia kuwa wanajeshi wengi kamba zao ni fupi sana haziwapi fursa ya kula .


Kagame ni mkombozi wa Afrika mashariki .
Vita vya Congo ni mbaya sana, watu hasa wanawake na watoto wanateseka mno.
20250201_000411.jpg

20250201_000503.jpg
 
Kwenye huu mgogoro zinatakiwa Cool heads kuchambua Propaganda na uhalisia wa mgogoro, na daima kusimamia UKWELI HAKI na UWAZI.

Kwasababu sasa hivi kunampango wa kuwafukuza raia wa Kongo na kuwapeleka Rwanda na wakati wa mauaji ya Kimbari ya Rwanda walikuwa wanawaua na kuwatia kwenye Mto Kagera ati warudi Ethiopia.
 
Tatizo la DRC chimbuko lake ni mwaka 1994 wakati Intarahamwe (Wahutu) milioni moja walipokimbilia DRC. HUko wakakumbana na Banyamulenge raia wa DRC (Watusi). Sasa unataka Rwanda wakae kimya katika mgogoro huu huko DRC?
The rest is history
 
Tatizo la DRC chimbuko lake ni mwaka 1994 wakati Intarahamwe (Wahutu) milioni moja walipokimbilia DRC. HUko wakakumbana na Banyamulenge raia wa DRC (Watusi). Sasa unataka Rwanda wakae kimya katika mgogoro huu huko DRC?
The rest is history
Mkuu hilo sio chimbuko au chanzo kikuu, hilo ulilotaja ni kitawi tu. Kafanye utafiti zaidi na kwa kina kuepuka kupitisha watu.
 
Kumeibuka kundi la Watanzania ambao wanakerwa sana na Watanzania wenzao wanaomkubali Kagame. Hili kundi lililojivisha kilemba cha uzalendo wanawachukulia Watanzania wenzao wasiomchukia Kagame kama vile ni wasaliti wa nchi. Hii sio sawa, hakuna mwenye hatimiliki ya uzalendo.

Kama wewe unamchukia Kagame kwa kuamini yeye ndiye chanzo cha matatizo yote ya Congo wapo wengine pia wenye mawazo tofauti na hayo.

Wapo wengine wanaofikiri ameifanya Rwanda kuwa nchi nzuri kwa mambo wanayoyapenda wao na kuyapa kipaumbele. Mtanzania kumkubali Kagame isihesabiwe ni usaliti kwa nchi yake au kukosa uzalendo.
Mbali na vipicha vya mitaa ya kigali, una picha za mikoa mingine? Ili tujue kaifanya Rwanda nchi nzuri? Huyo jamaa ni takataka ya ukanda huu, ana bahati radicals wameshafariki
 

Huyu naye aache propaganda, Tanzania mbona hatuna vita ila tumeshaporwa sio tu dhahabu ila mpaka gesi!! Mie naamini hata bila vita wazungu wanaweza kuiba madini kupitia mikataba mibovu kama ilivyokua Zambia!!

Pia wazungu wanahusikaje? Nakumbuka Mugabe na Rais wa Angola waliwahi kupora dhahabu za Katanga na vitalu vya mafuta kule Cabinda mtawalia kisa tu walimsaidia Kabila asipinduliwe kwenye second Congo War. Kwahiyo ina maana hata waafrika wenyewe wanafanya yaleyale tunayolalamikia wazungu.

Waafrika tupendane kwanza na tuwe wazalendo sio kila kitu kulaumu wazungu.
 
Back
Top Bottom