Ni uzalendo uchwara kulazimisha kila Mtanzania kumchukia Kagame

Ni uzalendo uchwara kulazimisha kila Mtanzania kumchukia Kagame

Mtu muuaji hana maana yoyote, eti ooh huyu mtu namuona ana kitu ambacho viongozi wengine wa Afrika hawana! Kitu gani zaidi ya roho mbaya, ubinafsi na uuaji labda hivyo ndiyo vitu anavyo.
Mtu gani anaua yeyote anayehisi anataka madaraka yake!,awe wa chama chake au mpinzani yeye uwa tu!
 
TUPATE TRUMP WA TZ AFANYE DEPORTATION YA WAHAMIAJI HARAMU.SIKU HAYO MADINI YANAISHA UGANDA NA RWANDA WATALIA SANA.MAANA NDIO SMUGGLERS WAKUBWA WA HAYO MADINI YA KIVU.

HAYO MAENDELEO YA HICHO KINCHI AMBACHO NI SAWA NA MOROGORO. MAENDELEO KWA MGONGO WA BIASHARA HARAMU ZA UTOROSHAJI MADINI NA VITA HAYO NI MAENDELEO HARAMU.

📌📌HARAMU ITABAKI HARAMU HATA KAMA INASURA AU HARUFU NZURI.HUWEZI KUTETEA WAUWAJI KISA MAENDELEO UCHWARA.
 
Mtu muuaji hana maana yoyote, eti ooh huyu mtu namuona ana kitu ambacho viongozi wengine wa Afrika hawana! Kitu gani zaidi ya roho mbaya, ubinafsi na uuaji labda hivyo ndiyo vitu anavyo.
Mtu gani anaua yeyote anayehisi anataka madaraka yake!,awe wa chama chake au mpinzani yeye uwa tu!
Ni tahira tu ambaye atamsifu mtu muovu kisa.Maendeleo ambayo ni tuvibarabara na tu jengo tuwili tutatu hapo mjini ila haiondoi ukweli hicho kinchi bado sana kwenye maendeleo.

📌📌📌Na hizi ndo tabia za KIMALAYAMALAYA.Kusifu sifu ujingaujinga.
 
Vita vya Congo ni mbaya sana, watu hasa wanawake na watoto wanateseka mno.
View attachment 3220403
View attachment 3220404

Umesahau operation tokomeza na operation Kimbunga kule Komoro mpaka bunge likaingilia kati unyama uliokua unafanywa na dola la Katika kupambana na wahalifu waliojificha katikakati ya makazi ya watu au kule gaza jinsi majeshi ya Israel yanavyo0ambana na magaidi katikati ya makazi ya watu.

Lakini pia umiwahi kuona kule Danganyika jinsi wapinzani wanavyopigwa mabomu na risasi wanapoandamana kupinga utekaji ,mauaji , ufisadi na dhulma na ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi ! Je ,bado tu hujaamini kuwa seikali iliwatendea haki wanadamu kamwe haiwezekani pakawa na ugaidi wala uasi . Mwasisi wa uasi na ugaidi hua ni serikali zilizoshindwa kuleta maendeleo .
Hivi kwa mfano Tanzania CCM na serikali yake ni mara ngapi imekataa kupeleka hata maji na umeme maeneo yenye wapinzani ? Sasa ni vipi ulaumu matokeo ya dhulma ya serikali kwa walipa kodi kabla ya kuanzia kwenye chanzo cha matatizo yanayotokea ?

Serikali inapoanza kuleta propaganda za ukabila ,Udini na ukanda inakua ndiyo chanzo cha uasi . Matokeo yake ni watoto na wanawake wanaoteseka lakini pia wanaume wanapoteza maisha kabisa.

Pale KIA ya Komoro kuna wanawake na watoto walikosa pa kulala baada ya makazi yao kubomolewa na serikali .

Kule Serengeti kuna nyumba zilichomwa moto na serikali ya CCN bila kujali watoto na wanawake watateseka.
Kule Kimara ya Bangladeshi kuna Nyumba zilivunjwa na serikali ya CCJ bila kujali mateso ya watoto na wanawake . Bahati nzuri watu wa nchi hiyo ni waumini wa imani ya uvumilivu . Lakini chanzo cha vurugu kingekua ni serikali ya CCW.

Au tujiulize inakuaje Silaha zinapita kwenye Bandari ya Anzuani anayomilikiwa na DW kwa sasa na kupita Rwanda na kuwafikia waasi ?
Kwa nini binadamu tu wanaoitwa wasomali na waethiopia wanakamatwa wakipita kwenye nchi ya Komoro lakini Silaha hazikamatwi . Je, hayo sio madili ya serikali katika udhalimu wake dhidi ya binadamu . Yaani binadamu kupita kwenye nchi fulani ni haramu lakini silaha ni halali kupita na kwenda kuua binadamu .

Seikali nyingi za kidunia zinatawaliwa na watu wenye hulka za kijini na kishetani matokeo yake ni umwgaji mkubwa wa damu .

Trump ndiye Rais pekee aliyeamua kuachana na ushetani na kurudi kwa Mungu .
 
Kwanza Kagame ni mfano wa kuigwa kwa sababu ana akili. Huwezi kumlinganisha na hawa wanaouza bandari kwa mwarabu, au kufukuza wamasai ili kugawa hifadhi ya wanyama kwa mwarabu, au hawa ambao bajeti ya magari ya V8 ni kubwa kuliko baadhi ya wizara.

Kagame siyo mwizi, siyo corrupt, ni mzalendo kwa nchi yake.

Mimi namuunga mkono Kagame, ni mzalendo wa kweli wa Afrika.
 
Mtu muuaji hana maana yoyote, eti ooh huyu mtu namuona ana kitu ambacho viongozi wengine wa Afrika hawana! Kitu gani zaidi ya roho mbaya, ubinafsi na uuaji labda hivyo ndiyo vitu anavyo.
Mtu gani anaua yeyote anayehisi anataka madaraka yake!,awe wa chama chake au mpinzani yeye uwa tu!

Acha mambo yako wewe, Kagame anaua majenerali waasi, lakini bongo wanaua watoto wadogo akina Soka na Saa nane. Nani coward hapo, Kagame au hawa wasiojielewa?
 
TUPATE TRUMP WA TZ AFANYE DEPORTATION YA WAHAMIAJI HARAMU.SIKU HAYO MADINI YANAISHA UGANDA NA RWANDA WATALIA SANA.MAANA NDIO SMUGGLERS WAKUBWA WA HAYO MADINI YA KIVU.

HAYO MAENDELEO YA HICHO KINCHI AMBACHO NI SAWA NA MOROGORO. MAENDELEO KWA MGONGO WA BIASHARA HARAMU ZA UTOROSHAJI MADINI NA VITA HAYO NI MAENDELEO HARAMU.

📌📌HARAMU ITABAKI HARAMU HATA KAMA INASURA AU HARUFU NZURI.HUWEZI KUTETEA WAUWAJI KISA MAENDELEO UCHWARA.

Hizo silaha zinapita bandari ipi mpaka zinafika kwa waasi? Lakini pia huo mgodi unaoweza kuchimbwa wakati kuna mabomu ya madege ya serikali ,UN na Nchi nyingine shughuli zake zinafanyikaje mkuu.?

Yaani pale Mireni inawezekanaje vijana wakaingia kwenye mashimo kuchimba madini wakati kuna vita .Tena vijana wenyewe ni wawe ni wa wapinzani wasio na ulinzi ? Dununia hii watawala wanapoingia madarakani mara nyingi wanatumia media kufuta historia za wengine wanaoona ni tushio kwao au wanafunika historia zao .

UN wako ple kwa ajili ya kulinda Wawekezaji wa Madini wenye asili ya kizungu ili wasivamiwe na Wenyeji wanaoishi maisha magumu katikati ya utajiri wa madini .
Kwa hiyo wabaopora madini kwa msaada wa UN na serikali ni Wazungu sio Rwanda . Kwa Taarifa yako wanaotoa silaha ni UN na wale wawekezaji wazungu ndio maana wakiwaua wazungu ndio unakua mwisho wa waasi kwa sababu hawataletewa silaha tena . Na silaha zinapita zikiwa kama mali ya UN.
Kagame hahusiki bali anawapa hifadhi kama yeye alivyokua amepewa hifadhi miaka hiyo
 
Hizo silaha zinapita bandari ipi mpaka zinafika kwa waasi? Lakini pia huo mgodi unaoweza kuchimbwa wakati kuna mabomu ya madege ya serikali ,UN na Nchi nyingine shughuli zake zinafanyikaje mkuu.?

Yaani pale Mireni inawezekanaje vijana wakaingia kwenye mashimo kuchimba madini wakati kuna vita .Tena vijana wenyewe ni wawe ni wa wapinzani wasio na ulinzi ? Dununia hii watawala wanapoingia madarakani mara nyingi wanatumia media kufuta historia za wengine wanaoona ni tushio kwao au wanafunika historia zao .

UN wako ple kwa ajili ya kulinda Wawekezaji wa Madini wenye asili ya kizungu ili wasivamiwe na Wenyeji wanaoishi maisha magumu katikati ya utajiri wa madini .
Kwa hiyo wabaopora madini kwa msaada wa UN na serikali ni Wazungu sio Rwanda . Kwa Taarifa yako wanaotoa silaha ni UN na wale wawekezaji wazungu ndio maana wakiwaua wazungu ndio unakua mwisho wa waasi kwa sababu hawataletewa silaha tena . Na silaha zinapita zikiwa kama mali ya UN.
Kagame hahusiki bali anawapa hifadhi kama yeye alivyokua amepewa hifadhi miaka hiyo

Uganda ndio mlango wa kuingizia silaha kwenda kwa hao ndugu zao. Na ndio sehemu ya kujificha pia hao wanaoitwa ndugu zao wang'ang'ania Madaraka





 
Kumeibuka kundi la Watanzania ambao wanakerwa sana na Watanzania wenzao wanaomkubali Kagame. Hili kundi lililojivisha kilemba cha uzalendo wanawachukulia Watanzania wenzao wasiomchukia Kagame kama vile ni wasaliti wa nchi. Hii sio sawa, hakuna mwenye hatimiliki ya uzalendo.

Kama wewe unamchukia Kagame kwa kuamini yeye ndiye chanzo cha matatizo yote ya Congo wapo wengine pia wenye mawazo tofauti na hayo.

Wapo wengine wanaofikiri ameifanya Rwanda kuwa nchi nzuri kwa mambo wanayoyapenda wao na kuyapa kipaumbele. Mtanzania kumkubali Kagame isihesabiwe ni usaliti kwa nchi yake au kukosa uzalendo.
Nyie Wanyarwanda jiandaeni, soon nyote tunawarudisha kwenu Rwanda.
 
Kumeibuka kundi la Watanzania ambao wanakerwa sana na Watanzania wenzao wanaomkubali Kagame. Hili kundi lililojivisha kilemba cha uzalendo wanawachukulia Watanzania wenzao wasiomchukia Kagame kama vile ni wasaliti wa nchi. Hii sio sawa, hakuna mwenye hatimiliki ya uzalendo.

Kama wewe unamchukia Kagame kwa kuamini yeye ndiye chanzo cha matatizo yote ya Congo wapo wengine pia wenye mawazo tofauti na hayo.

Wapo wengine wanaofikiri ameifanya Rwanda kuwa nchi nzuri kwa mambo wanayoyapenda wao na kuyapa kipaumbele. Mtanzania kumkubali Kagame isihesabiwe ni usaliti kwa nchi yake au kukosa uzalendo.
Wewe una mental problem, pole.
 
Mtu muuaji hana maana yoyote, eti ooh huyu mtu namuona ana kitu ambacho viongozi wengine wa Afrika hawana! Kitu gani zaidi ya roho mbaya, ubinafsi na uuaji labda hivyo ndiyo vitu anavyo.
Mtu gani anaua yeyote anayehisi anataka madaraka yake!,awe wa chama chake au mpinzani yeye uwa tu!
Rwanda nchi landlocked yenye ukubwa sawa na mkoa mmoja wa Tanzania ina GDP ya $bilioni 15, Kigali ndio mji msafi na salama zaidi barani Africa, RwandaAir ni kati ya mashirika bora matano barani Africa. Haya yote yamefanyika ndani ya miaka 30 tu.
 
Hizo silaha zinapita bandari ipi mpaka zinafika kwa waasi? Lakini pia huo mgodi unaoweza kuchimbwa wakati kuna mabomu ya madege ya serikali ,UN na Nchi nyingine shughuli zake zinafanyikaje mkuu.?

Yaani pale Mireni inawezekanaje vijana wakaingia kwenye mashimo kuchimba madini wakati kuna vita .Tena vijana wenyewe ni wawe ni wa wapinzani wasio na ulinzi ? Dununia hii watawala wanapoingia madarakani mara nyingi wanatumia media kufuta historia za wengine wanaoona ni tushio kwao au wanafunika historia zao .

UN wako ple kwa ajili ya kulinda Wawekezaji wa Madini wenye asili ya kizungu ili wasivamiwe na Wenyeji wanaoishi maisha magumu katikati ya utajiri wa madini .
Kwa hiyo wabaopora madini kwa msaada wa UN na serikali ni Wazungu sio Rwanda . Kwa Taarifa yako wanaotoa silaha ni UN na wale wawekezaji wazungu ndio maana wakiwaua wazungu ndio unakua mwisho wa waasi kwa sababu hawataletewa silaha tena . Na silaha zinapita zikiwa kama mali ya UN.
Kagame hahusiki bali anawapa hifadhi kama yeye alivyokua amepewa hifadhi miaka hiyo
📌Kwahiyo wewe mzee wa PROPAGANDA ebu tweleze; Rwanda anamasilahi gani n hao WALOWEZI kiasi cha kuwasha mpaka AIR DEFENCE SYSTEM na kuhatarisha mahusiano na majirani zake na hata South Africa.

📌Na pia ueleze ni kwanini yeye Rwanda akiambiwa apatane na waasi wa kihutu waliokimbilia Kongo anakuwa mkali na kaidi ila yeye anataka M23 wasikilizwe.Huoni kwamba huu ni wendawazimu.

📌📌📌Utoe majibu usiniandikie habari za kidaku za vijiwe vya kahawa na tangawizi.
 
Rwanda nchi landlocked yenye ukubwa sawa na mkoa mmoja wa Tanzania ina GDP ya $bilioni 15, Kigali ndio mji msafi na salama zaidi barani Africa, RwandaAir ni kati ya mashirika bora matano barani Africa. Haya yote yamefanyika ndani ya miaka 30 tu.
Kwahiyo hilo ndiyo linahalalisha mtu kuwa katili dhidi ya binadamu wenzake kwa kuua watu ovyo,kusababisha vurugu kwenye nchi nyingine na kupora maliasili za nchi hizo? Mtu unaweza kufanya yote hayo na siku moja unakufa wanakuja wengine wanavuruga kila kitu sasa hiyo itakusaidia nini zaidi ya kwenda kupata adhabu kali kwa mola wako kwa ukatili ulioufanya wakati wa uhai wako(kama unaamini uwepo wa Mungu)!
Lakini yote hayo uliyosifia unaweza kuta hakuna hata moja linalomnufaisha mwananchi wa hali ya chini zaidi ya kuishi kama mtumwa ndani ya nchi yake na mara zote watawala wa aina yake uwa hawataki na hawapendi kabisa kukosolewa kwa sababu mara zote ujiona wao ndiyo wapo sahihi na wenye akili kuliko wengine,sasa mtu kama huyo simuoni kama ni mtu mwenye akili zaidi ya kumuona ni mgonjwa wa akili tu.
 
Kumeibuka kundi la Watanzania ambao wanakerwa sana na Watanzania wenzao wanaomkubali Kagame. Hili kundi lililojivisha kilemba cha uzalendo wanawachukulia Watanzania wenzao wasiomchukia Kagame kama vile ni wasaliti wa nchi. Hii sio sawa, hakuna mwenye hatimiliki ya uzalendo.

Kama wewe unamchukia Kagame kwa kuamini yeye ndiye chanzo cha matatizo yote ya Congo wapo wengine pia wenye mawazo tofauti na hayo.

Wapo wengine wanaofikiri ameifanya Rwanda kuwa nchi nzuri kwa mambo wanayoyapenda wao na kuyapa kipaumbele. Mtanzania kumkubali Kagame isihesabiwe ni usaliti kwa nchi yake au kukosa uzalendo.
Rudi kwenu Rwanda...mkuu
 
Kumeibuka kundi la Watanzania ambao wanakerwa sana na Watanzania wenzao wanaomkubali Kagame. Hili kundi lililojivisha kilemba cha uzalendo wanawachukulia Watanzania wenzao wasiomchukia Kagame kama vile ni wasaliti wa nchi. Hii sio sawa, hakuna mwenye hatimiliki ya uzalendo.

Kama wewe unamchukia Kagame kwa kuamini yeye ndiye chanzo cha matatizo yote ya Congo wapo wengine pia wenye mawazo tofauti na hayo.

Wapo wengine wanaofikiri ameifanya Rwanda kuwa nchi nzuri kwa mambo wanayoyapenda wao na kuyapa kipaumbele. Mtanzania kumkubali Kagame isihesabiwe ni usaliti kwa nchi yake au kukosa uzalendo.
Kagame hana Ubaya wowote na Tanzania !
Matatizo ya Congo ni yao wao wenyewe wacongo kutaka kuwabagua wenzao eti ni wanyarwanda kutokana na kabila lao !
Sisi hapa wapo wamakonde na Nchi jirani wapo pia , wapo wangoni na Nchi jirani wapo pia !
Wapo Wamasai na Nchi jirani wapo pia !
So ya Congo waachieni Wacongo wenyewe wayamalize !
Sisi tukazane kuomba wakae meza moja ya majadiliano !
 
Back
Top Bottom