Ni uzalendo uchwara kulazimisha kila Mtanzania kumchukia Kagame

Ninafsi kagame namkubali sana. Hana ushenzi wa kiafrika afrika. Anelewa dunia inaendaje. Shida ipo Kongo ambapo rasilimali watu hakuna. Ni wengi ila hamna watu pale.
 
Unaitwa YODA. Nadhani Jina lako halisi ni YUDA na jina hili kulingana na maandiko ya kwenye biblia jina hili ni la mtu mmoja msaliti.
Kwahiyo hatushangai usaliti wako kwa nchi yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…