Ni uzembe kuendelea kuipamba Dar kwa flyovers wakati shuleni na hospitalini hakuna nyumba na vifaa vya kutosha

Ni uzembe kuendelea kuipamba Dar kwa flyovers wakati shuleni na hospitalini hakuna nyumba na vifaa vya kutosha

Nimeona clip ya Polepole akimsifu Magufuli wakati akisoma kitabu ambacho nadhani ni ilani ya chama. Anachokitaja ni idadi ya flyovers zinazopangwa kujengwa; Moroko, Tazara, Magomeni, Mwenge, Chang’ombe na uhasibu, fire, Kinondoni, etc. Huu ni uhuni na ushenzi wa matumizi ya pesa ya taifa hili. Ni uhuni kwa sababu. Pesa ya nchi isigeuzwe kuwa ni pesa ya kuipamba Dar es Salaam kwa sababu za kisiasa. Nchi hii bado sana! Tuna mahitaji kibao.

Kinachosikitisha ni mahitaji mengi tuliyonayo kwenye mambo ya msingi. Shule zetu bado zinaonekana kama mabanda ya wakimbizi. Shule hazina nyumba za waalimu, hakuna maabara, hazina waalimu, hazina vifaa vya sayansi na matokeo yake watoto wote wa shule za vijijini hakuna anayesoma sayansi. Wanasoma masomo wanayoyaita ya arts wakati Kiingereza hawajui kabisa! Hospitali wanazojenga hazina vifaa, nyumba za watumishi hakuna! Sifa za aina hii ni upuuzi mkubwa sana!

Anayewaandikia hizo ilani ana matatizo na hii ndo mbunge mmoja wa CCM aliwahi kuwaita vijana wa Oysterbay! Hawa wanadhani TZ ni Dar tu! Itakuwa bahati mbaya sana kama kweli awamu ijayo itakuwa ni ya kujenga flyover Dar, barabara Dodoma na kuamini ndo maendeleo. Nchi hii ni kubwa.
Chadema akili zenu zimeenda na mafuriko ya jana. Hivi unataka kusema shughuli zingine zote zisimame, yaani ujenzi wa barabara na vitu vyake visimame zijengwe shule tu na mahospitali?
Jpm kachagua hivyo msivyopenda, vumilieni au jengeni kataifa kenu pale ufipa muwekeze nguvu eneo mnaloona ni sahihi.
Tafuta takwimu kisha angalia ongezeko la shule na hospitali toka jpm anaingia mpaka sasa!
 
Nimeona clip ya Polepole akimsifu Magufuli wakati akisoma kitabu ambacho nadhani ni ilani ya chama. Anachokitaja ni idadi ya flyovers zinazopangwa kujengwa; Moroko, Tazara, Magomeni, Mwenge, Chang’ombe na uhasibu, fire, Kinondoni, etc. Huu ni uhuni na ushenzi wa matumizi ya pesa ya taifa hili. Ni uhuni kwa sababu. Pesa ya nchi isigeuzwe kuwa ni pesa ya kuipamba Dar es Salaam kwa sababu za kisiasa. Nchi hii bado sana! Tuna mahitaji kibao.

Kinachosikitisha ni mahitaji mengi tuliyonayo kwenye mambo ya msingi. Shule zetu bado zinaonekana kama mabanda ya wakimbizi. Shule hazina nyumba za waalimu, hakuna maabara, hazina waalimu, hazina vifaa vya sayansi na matokeo yake watoto wote wa shule za vijijini hakuna anayesoma sayansi. Wanasoma masomo wanayoyaita ya arts wakati Kiingereza hawajui kabisa! Hospitali wanazojenga hazina vifaa, nyumba za watumishi hakuna! Sifa za aina hii ni upuuzi mkubwa sana!

Anayewaandikia hizo ilani ana matatizo na hii ndo mbunge mmoja wa CCM aliwahi kuwaita vijana wa Oysterbay! Hawa wanadhani TZ ni Dar tu! Itakuwa bahati mbaya sana kama kweli awamu ijayo itakuwa ni ya kujenga flyover Dar, barabara Dodoma na kuamini ndo maendeleo. Nchi hii ni kubwa.
Mapato ya Nchi hii asilimia 80 yanatoka Dar es salaam. Unajua hilo?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Katika sehemu ambayo awamu ya tano wamefeli Ni elimu.Shule za umma zipo hoi kuanzia nursery mpaka high school.Shule zimezidiwa na idadi ya wanafunzi walimu pia Ni haba.Tembelea shule za kata uone hali ilivyo Tete Madarasa Ni vumbi tupu Kama zizi la ng'ombe la kijijini.Vyoo Ni shida
Hii ni mpaka Chato ambako umejengwa uwanja wa ndege wa kimataifa. Wakiwaambia maendeleo ya watu, wao wanaleta propoganda kuwa mbona hamtembei kwa miguu kufanya kampeni, mara mbona Zitto kapanda ndege za Magufuli, mbona amepata huduma ya kwanza katika dispensari ya kijiji! CCM imetengeneza kizazi cha utaahira ambacho itachukua karne kuufuta.
 
Nimeona clip ya Polepole akimsifu Magufuli wakati akisoma kitabu ambacho nadhani ni ilani ya chama. Anachokitaja ni idadi ya flyovers zinazopangwa kujengwa; Moroko, Tazara, Magomeni, Mwenge, Chang’ombe na uhasibu, fire, Kinondoni, etc. Huu ni uhuni na ushenzi wa matumizi ya pesa ya taifa hili. Ni uhuni kwa sababu. Pesa ya nchi isigeuzwe kuwa ni pesa ya kuipamba Dar es Salaam kwa sababu za kisiasa. Nchi hii bado sana! Tuna mahitaji kibao.

Kinachosikitisha ni mahitaji mengi tuliyonayo kwenye mambo ya msingi. Shule zetu bado zinaonekana kama mabanda ya wakimbizi. Shule hazina nyumba za waalimu, hakuna maabara, hazina waalimu, hazina vifaa vya sayansi na matokeo yake watoto wote wa shule za vijijini hakuna anayesoma sayansi. Wanasoma masomo wanayoyaita ya arts wakati Kiingereza hawajui kabisa! Hospitali wanazojenga hazina vifaa, nyumba za watumishi hakuna! Sifa za aina hii ni upuuzi mkubwa sana!

Anayewaandikia hizo ilani ana matatizo na hii ndo mbunge mmoja wa CCM aliwahi kuwaita vijana wa Oysterbay! Hawa wanadhani TZ ni Dar tu! Itakuwa bahati mbaya sana kama kweli awamu ijayo itakuwa ni ya kujenga flyover Dar, barabara Dodoma na kuamini ndo maendeleo. Nchi hii ni kubwa.
Nibahati mbaya tanzania tunamali nyingi lakini shida ipo kwa walioshika uongozi mfano hapa kigoma hatuna vitu vingi tu pamoja na uwanja wampira pia hatuna sasa unapopata kiongozi mbumbumbu atakimbilia kujenga kiwanja cha mpira bilakuangaliakitugani hakipo ambacho wanamichezo nawasiokuwa wanamichezo nimuhim kwamaisha yakila siku
 
Nimeona clip ya Polepole akimsifu Magufuli wakati akisoma kitabu ambacho nadhani ni ilani ya chama. Anachokitaja ni idadi ya flyovers zinazopangwa kujengwa; Moroko, Tazara, Magomeni, Mwenge, Chang’ombe na uhasibu, fire, Kinondoni, etc. Huu ni uhuni na ushenzi wa matumizi ya pesa ya taifa hili. Ni uhuni kwa sababu. Pesa ya nchi isigeuzwe kuwa ni pesa ya kuipamba Dar es Salaam kwa sababu za kisiasa. Nchi hii bado sana! Tuna mahitaji kibao.

Kinachosikitisha ni mahitaji mengi tuliyonayo kwenye mambo ya msingi. Shule zetu bado zinaonekana kama mabanda ya wakimbizi. Shule hazina nyumba za waalimu, hakuna maabara, hazina waalimu, hazina vifaa vya sayansi na matokeo yake watoto wote wa shule za vijijini hakuna anayesoma sayansi. Wanasoma masomo wanayoyaita ya arts wakati Kiingereza hawajui kabisa! Hospitali wanazojenga hazina vifaa, nyumba za watumishi hakuna! Sifa za aina hii ni upuuzi mkubwa sana!

Anayewaandikia hizo ilani ana matatizo na hii ndo mbunge mmoja wa CCM aliwahi kuwaita vijana wa Oysterbay! Hawa wanadhani TZ ni Dar tu! Itakuwa bahati mbaya sana kama kweli awamu ijayo itakuwa ni ya kujenga flyover Dar, barabara Dodoma na kuamini ndo maendeleo. Nchi hii ni kubwa.
Inaonekana hujawai fika Dar au huna ndugu Dar. Tuache na Dar yetu tuendelee kuenjoy.
 
Nimeona clip ya Polepole akimsifu Magufuli wakati akisoma kitabu ambacho nadhani ni ilani ya chama. Anachokitaja ni idadi ya flyovers zinazopangwa kujengwa; Moroko, Tazara, Magomeni, Mwenge, Chang’ombe na uhasibu, fire, Kinondoni, etc. Huu ni uhuni na ushenzi wa matumizi ya pesa ya taifa hili. Ni uhuni kwa sababu. Pesa ya nchi isigeuzwe kuwa ni pesa ya kuipamba Dar es Salaam kwa sababu za kisiasa. Nchi hii bado sana! Tuna mahitaji kibao.

Kinachosikitisha ni mahitaji mengi tuliyonayo kwenye mambo ya msingi. Shule zetu bado zinaonekana kama mabanda ya wakimbizi. Shule hazina nyumba za waalimu, hakuna maabara, hazina waalimu, hazina vifaa vya sayansi na matokeo yake watoto wote wa shule za vijijini hakuna anayesoma sayansi. Wanasoma masomo wanayoyaita ya arts wakati Kiingereza hawajui kabisa! Hospitali wanazojenga hazina vifaa, nyumba za watumishi hakuna! Sifa za aina hii ni upuuzi mkubwa sana!

Anayewaandikia hizo ilani ana matatizo na hii ndo mbunge mmoja wa CCM aliwahi kuwaita vijana wa Oysterbay! Hawa wanadhani TZ ni Dar tu! Itakuwa bahati mbaya sana kama kweli awamu ijayo itakuwa ni ya kujenga flyover Dar, barabara Dodoma na kuamini ndo maendeleo. Nchi hii ni kubwa.
Shida yako wewe huishi kama jina lako la Mchunguzi. Wewe ni mlalamikaji tuu asiyefanya uchunguzi. Ungechunguza ungeona kuwa sababu za kujenga flyovers ni kupunguza foleni jijini Dar es Salaam. Foleni hizi (ambazo siyo kwa magari ya Dar tuu bali ya nchi nzima) zinagharimu pesa nyingi katika uchumi wetu. Ungeelewa pia kuwa Dar inachangia asilimia nyingi katika uchumi wetu hivyo flyovers za Dar ni muhimu saana.
 
Shida yako wewe huishi kama jina lako la Mchunguzi. Wewe ni mlalamikaji tuu asiyefanya uchunguzi. Ungechunguza ungeona kuwa sababu za kujenga flyovers ni kupunguza foleni jijini Dar es Salaam. Foleni hizi (ambazo siyo kwa magari ya Dar tuu bali ya nchi nzima) zinagharimu pesa nyingi katika uchumi wetu. Ungeelewa pia kuwa Dar inachangia asilimia nyingi katika uchumi wetu hivyo flyovers za Dar ni muhimu saana.
Unawezaje kujipa ufahamu usio wako kiasi hiki? Mji gani duniani hauna foleni? Taja mji mmoja tu! Kama flyover ni suluhu stone town, Zbar ingejaa flyover. Mijini kote tutafafuta usafiri wa uhakika na siyo uendeshaji wa raha, hiyo ni plan ya kijinga na waliotuzidi wameshaondoka huko. Walivyoanza na mwendo kasi wangeendelea hivyo kwa miji yote na wengi wangepark magari isipokuwa wale wa aina yako wanaodhani kila mtu anastahili kuendesha kwa raha.
 
Mapato ya Nchi hii asilimia 80 yanatoka Dar es salaam. Unajua hilo?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
That is nonsense! Mawazo kama hayo niliwahi kuyasikia toka kwa wabunge wa Dar. Niliona ni sawa kwa sifa yao ya kujua kusoma na kuandika. Sitegemei mwenye uelewa aje na takwimu mfu kiasi hiki! Hiyo asilimia umeitoa wapi? Inatoka kwenye kitu gani. Income ya nchi hii iko ktk sekta tatu: Utalii, madini na Kilimo. Ktk hayo matatu lipi liko Dar? Ofisi ya malipo ikiwa Dar wewe unasema Dar inaingiza kipato!! Aibu yako boss!
 
Chadema akili zenu zimeenda na mafuriko ya jana. Hivi unataka kusema shughuli zingine zote zisimame, yaani ujenzi wa barabara na vitu vyake visimame zijengwe shule tu na mahospitali?
Jpm kachagua hivyo msivyopenda, vumilieni au jengeni kataifa kenu pale ufipa muwekeze nguvu eneo mnaloona ni sahihi.
Tafuta takwimu kisha angalia ongezeko la shule na hospitali toka jpm anaingia mpaka sasa!
Tuanze pole pole tu, una elimu gani, boss? Naogopa nisijibizane na kijana anayesubili kujiunga na chuo. Hospitali ziko wapi? Majengo ni hospitali? Yeye anazitumia au wewe ukiingia na kukuta syringe unaona n! hospitali!
 
Chama cha Mbowe kama makasuku, asemacho Mbowe, ndicho cha Lissu na mashabiki wake. Leo ndio Chadema mna uchungu na hospital na shule. Kwani huoni zinavyojengwa?. Kwani Oct 2015 shule na hospital zilikuwa ngapi?. Ila ninyi huwa punguani Sana, si mnasema mnataka maendeleo ya watu sio vitu right?.

Kwani kwenu hizo hospital, mashule na flyover ni maendeleo ya watu au vutu?. Umechemka, vitu ambavyo chama chenu hakijafanya mnakiponda hasa ila akifanya mwenyekiti wenu mwaona ndio kitu. Mtakula wa chuya hiyo Oct 28.
Kwa mpangilio huu wa maneno, yabidi tu nikubali matusi. Uliwahi kutunga insha au bado?
 
Kuna nini dar, Boss? Kipindupindu imekwisha siku hizi? Au Corona ilichukuwa chati?
daa kuna bandari ambayo inakulisha hadi wewe, Dar isipo pitika pengine hata hizo nguo hutoweza kuzivaa, mafuta ya magari yanauzwa sheri yanatokea huko Dar, umeona sasa, mizigo yote, inatokea huko, hiyo gari unayopanda inatokea huko.
 
That is nonsense! Mawazo kama hayo niliwahi kuyasikia toka kwa wabunge wa Dar. Niliona ni sawa kwa sifa yao ya kujua kusoma na kuandika. Sitegemei mwenye uelewa aje na takwimu mfu kiasi hiki! Hiyo asilimia umeitoa wapi? Inatoka kwenye kitu gani. Income ya nchi hii iko ktk sekta tatu: Utalii, madini na Kilimo. Ktk hayo matatu lipi liko Dar? Ofisi ya malipo ikiwa Dar wewe unasema Dar inaingiza kipato!! Aibu yako boss!
Yupo sawa asilimia 99 ya uchumi wa mikoa yote Tanzania inategemea Dar. Mkuu tafakari vizuri. Mfano tujaribu kuufunga mkoa wa Dar watanzania watakufa njaa.
 
Nimeona clip ya Polepole akimsifu Magufuli wakati akisoma kitabu ambacho nadhani ni ilani ya chama. Anachokitaja ni idadi ya flyovers zinazopangwa kujengwa; Moroko, Tazara, Magomeni, Mwenge, Chang’ombe na uhasibu, fire, Kinondoni, etc. Huu ni uhuni na ushenzi wa matumizi ya pesa ya taifa hili. Ni uhuni kwa sababu. Pesa ya nchi isigeuzwe kuwa ni pesa ya kuipamba Dar es Salaam kwa sababu za kisiasa. Nchi hii bado sana! Tuna mahitaji kibao.

Kinachosikitisha ni mahitaji mengi tuliyonayo kwenye mambo ya msingi. Shule zetu bado zinaonekana kama mabanda ya wakimbizi. Shule hazina nyumba za waalimu, hakuna maabara, hazina waalimu, hazina vifaa vya sayansi na matokeo yake watoto wote wa shule za vijijini hakuna anayesoma sayansi. Wanasoma masomo wanayoyaita ya arts wakati Kiingereza hawajui kabisa! Hospitali wanazojenga hazina vifaa, nyumba za watumishi hakuna! Sifa za aina hii ni upuuzi mkubwa sana!

Anayewaandikia hizo ilani ana matatizo na hii ndo mbunge mmoja wa CCM aliwahi kuwaita vijana wa Oysterbay! Hawa wanadhani TZ ni Dar tu! Itakuwa bahati mbaya sana kama kweli awamu ijayo itakuwa ni ya kujenga flyover Dar, barabara Dodoma na kuamini ndo maendeleo. Nchi hii ni kubwa.
Plannimg ni fani sio kila mtu anajua.

Dar pekee kodi inayokusanywa ni asilimia 16 unalijua hilo? Hizo flyovers zitaokoa nuda unaopotea barabarani na muda huo utatumika kuzalisha hivyo kodi zaidi itakusanywa na kodi hiyo itatumika kufanya hayo unayoyasema.

CCM inaposema itajenga flyovers maana yake huo ni uwekezaji, na uwekezaji wa leo ni kujenga uwezo zaidi wa kutumia kesho.

Katika uchumi sio suala la kusema niitafanya hiki na hiki bali ni suala la kutengeneza mikakati ya kipato zaidi kwa kujenga uwezo zaidi wa uzalishaji ili sasa kipato hicho kitumike kuboresha zaidi huduma zingine

Usipoimarisha Dar maana yake mapato ya nchi yatashuka hivyo utashindea kuboresha maisha ya wananchi kwa sababu utakuwa na resource chache huku idadi ya watu ikiongezeka.
 
Jiji la Flyover ndio hili ?

FB_IMG_1602602945084.jpg
 
Unawezaje kujipa ufahamu usio wako kiasi hiki? Mji gani duniani hauna foleni? Taja mji mmoja tu! Kama flyover ni suluhu stone town, Zbar ingejaa flyover. Mijini kote tutafafuta usafiri wa uhakika na siyo uendeshaji wa raha, hiyo ni plan ya kijinga na waliotuzidi wameshaondoka huko. Walivyoanza na mwendo kasi wangeendelea hivyo kwa miji yote na wengi wangepark magari isipokuwa wale wa aina yako wanaodhani kila mtu anastahili kuendesha kwa raha.
Kama flyover sio suluhu basi tuambie suluhu ya fokeni ni nini? Nenda hapo kenya tu kuna flyover kadhaa, mji wa Bangkok flyover za kumwaga na kote huko zimepunguza sana foleni na kuwezesha shughuli za kiuchumi kuongezeka.

Dar unayoidharau, kwa sekta ya huduma na viwanda inachangia sana pato la taifa.
 
Nimeona clip ya Polepole akimsifu Magufuli wakati akisoma kitabu ambacho nadhani ni ilani ya chama. Anachokitaja ni idadi ya flyovers zinazopangwa kujengwa; Moroko, Tazara, Magomeni, Mwenge, Chang’ombe na uhasibu, fire, Kinondoni, etc. Huu ni uhuni na ushenzi wa matumizi ya pesa ya taifa hili. Ni uhuni kwa sababu. Pesa ya nchi isigeuzwe kuwa ni pesa ya kuipamba Dar es Salaam kwa sababu za kisiasa. Nchi hii bado sana! Tuna mahitaji kibao.

Kinachosikitisha ni mahitaji mengi tuliyonayo kwenye mambo ya msingi. Shule zetu bado zinaonekana kama mabanda ya wakimbizi. Shule hazina nyumba za waalimu, hakuna maabara, hazina waalimu, hazina vifaa vya sayansi na matokeo yake watoto wote wa shule za vijijini hakuna anayesoma sayansi. Wanasoma masomo wanayoyaita ya arts wakati Kiingereza hawajui kabisa! Hospitali wanazojenga hazina vifaa, nyumba za watumishi hakuna! Sifa za aina hii ni upuuzi mkubwa sana!

Anayewaandikia hizo ilani ana matatizo na hii ndo mbunge mmoja wa CCM aliwahi kuwaita vijana wa Oysterbay! Hawa wanadhani TZ ni Dar tu! Itakuwa bahati mbaya sana kama kweli awamu ijayo itakuwa ni ya kujenga flyover Dar, barabara Dodoma na kuamini ndo maendeleo. Nchi hii ni kubwa.
Hujui hasara au upotevu wa mabilioni yanayopotea dar kutokana na muda unaopotea barabarani kwa msongamano wa magari. Dar inahusika na asilimia 60 ya mapato ya taifa. Miundombinu bora ya usafiri itaongeza mabilioni kwenye hazina ya taifa.
 
Back
Top Bottom