Pre GE2025 Ni vema CHADEMA wasishupaze shingo itavunjika

Pre GE2025 Ni vema CHADEMA wasishupaze shingo itavunjika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam,

Inafahamika wazi nchi hii hakuna vyama vya upinzani zaidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA). Vyama vingine vyote vinavyojiita vya upinzani ni matawi ya CCM na vimeanzishishwa ili kudhoofisha nguvu za CHADEMA.

Sasa kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa baadae mwaka huu ni vema chadema WASISHIRIKI uchaguzi huu ambao unasimiwa na makada wa CCM ambao wameshaahidi tena hadharani kwamba hakuna kata itakayoenda upinzani.

Nawashauri CHADEMA kama kweli wapo kwa ajili ya kulikomboa taifa hili dhidi ya mkoloni mweusi CCM basi wadai Tume Huru ya kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa na sio kuwaachia kina Mchengerwa wafanye hujuma kama walivyomuahidi mwenyekiti wao ambae ndie mteuzi wa wasimamizi wa uchaguzi huo.

Angalizo: Endapo CHADEMA watashikiriki uchaguzi huu katika MAZINGIRA haya batili basi watanzania wenye kujitambua wataamini nchi hii hakuna chama cha upinzani wote ni ccmB na mnalamba asali na kusaliti matumaini ya watanganyika kwenu.

Ova.
 
Wasalaam,

Inafahamika wazi nchi hii hakuna vyama vya upinzani zaidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA). Vyama vingine vyote vinavyojiita vya upinzani ni matawi ya CCM na vimeanzishishwa ili kudhoofisha nguvu za CHADEMA.

Sasa kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa baadae mwaka huu ni vema chadema WASISHIRIKI uchaguzi huu ambao unasimiwa na makada wa CCM ambao wameshaahidi tena hadharani kwamba hakuna kata itakayoenda upinzani.

Nawashauri CHADEMA kama kweli wapo kwa ajili ya kulikomboa taifa hili dhidi ya mkoloni mweusi CCM basi wadai Tume Huru ya kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa na sio kuwaachia kina Mchengerwa wafanye hujuma kama walivyomuahidi mwenyekiti wao ambae ndie mteuzi wa wasimamizi wa uchaguzi huo.

Angalizo: Endapo CHADEMA watashikiriki uchaguzi huu katika MAZINGIRA haya batili basi watanzania wenye kujitambua wataamini nchi hii hakuna chama cha upinzani wote ni ccmB na mnalamba asali na kusaliti matumaini ya watanganyika kwenu.

Ova.
ushauri wa pwagu kwendra kwa pwaguzi 🤣
 
Wasalaam,

Inafahamika wazi nchi hii hakuna vyama vya upinzani zaidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA). Vyama vingine vyote vinavyojiita vya upinzani ni matawi ya CCM na vimeanzishishwa ili kudhoofisha nguvu za CHADEMA.

Sasa kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa baadae mwaka huu ni vema chadema WASISHIRIKI uchaguzi huu ambao unasimiwa na makada wa CCM ambao wameshaahidi tena hadharani kwamba hakuna kata itakayoenda upinzani.

Nawashauri CHADEMA kama kweli wapo kwa ajili ya kulikomboa taifa hili dhidi ya mkoloni mweusi CCM basi wadai Tume Huru ya kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa na sio kuwaachia kina Mchengerwa wafanye hujuma kama walivyomuahidi mwenyekiti wao ambae ndie mteuzi wa wasimamizi wa uchaguzi huo.

Angalizo: Endapo CHADEMA watashikiriki uchaguzi huu katika MAZINGIRA haya batili basi watanzania wenye kujitambua wataamini nchi hii hakuna chama cha upinzani wote ni ccmB na mnalamba asali na kusaliti matumaini ya watanganyika kwenu.

Ova.
Tutashiriki. Ni afadhari uwaambie watu tutashiriki kwakuwa Kuna mambo yanashughulikiwa ikiwepo na kesi mahakamani. Kuliko kukaa kimya watu wasirekebishe taarifa zao halafu baadaye uwashtukize et tutashiriki. TUTASHIRIKI
 
CHADEMA huwa hawashauriki, binafsi napenda tuwe na upinzani wenye tija ili watawala wasijisahau pia tuwe na alternative competence party. Lakini Tanzania tuna safari ndefu sana.
 
Wewe si unasema tuu kuwa tumeichoka CCM, sisi wenzako ni waandishi wa habari, sio tuu tumesema, bali pia tumeandika sana tuu, CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! hata uichoke vipi kama hakuna mbadala, tutaendelea kuichagua tuu CCM mwaka hadi mwaka mpaka mbadala upatikane!.
P
Mabadiliko yatatoka ndani ya CCM, na Rais bora atatoka CCM. Hawa wapinzani wanaonunuliwa kwa kodi za wananchi hawakawii kununuliwa pia na wageni.
 
Tutashiriki. Ni afadhari uwaambie watu tutashiriki kwakuwa Kuna mambo yanashughulikiwa ikiwepo na kesi mahakamani. Kuliko kukaa kimya watu wasirekebishe taarifa zao halafu baadaye uwashtukize et tutashiriki. TUTASHIRIKI
Sawa
 
Wasalaam,

Inafahamika wazi nchi hii hakuna vyama vya upinzani zaidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA). Vyama vingine vyote vinavyojiita vya upinzani ni matawi ya CCM na vimeanzishishwa ili kudhoofisha nguvu za CHADEMA.

Sasa kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa baadae mwaka huu ni vema chadema WASISHIRIKI uchaguzi huu ambao unasimiwa na makada wa CCM ambao wameshaahidi tena hadharani kwamba hakuna kata itakayoenda upinzani.

Nawashauri CHADEMA kama kweli wapo kwa ajili ya kulikomboa taifa hili dhidi ya mkoloni mweusi CCM basi wadai Tume Huru ya kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa na sio kuwaachia kina Mchengerwa wafanye hujuma kama walivyomuahidi mwenyekiti wao ambae ndie mteuzi wa wasimamizi wa uchaguzi huo.

Angalizo: Endapo CHADEMA watashikiriki uchaguzi huu katika MAZINGIRA haya batili basi watanzania wenye kujitambua wataamini nchi hii hakuna chama cha upinzani wote ni ccmB na mnalamba asali na kusaliti matumaini ya watanganyika kwenu.

Ova.
Chadema wanaweza kushiriki au wasishiriki na CHADEMA haiwezi kufa. Tunaangalia mwenendo wa mambo na tutajua nini cha kufanya kwa wakati wake.
 
Back
Top Bottom