Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Wasalaam,
Inafahamika wazi nchi hii hakuna vyama vya upinzani zaidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA). Vyama vingine vyote vinavyojiita vya upinzani ni matawi ya CCM na vimeanzishishwa ili kudhoofisha nguvu za CHADEMA.
Sasa kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa baadae mwaka huu ni vema chadema WASISHIRIKI uchaguzi huu ambao unasimiwa na makada wa CCM ambao wameshaahidi tena hadharani kwamba hakuna kata itakayoenda upinzani.
Nawashauri CHADEMA kama kweli wapo kwa ajili ya kulikomboa taifa hili dhidi ya mkoloni mweusi CCM basi wadai Tume Huru ya kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa na sio kuwaachia kina Mchengerwa wafanye hujuma kama walivyomuahidi mwenyekiti wao ambae ndie mteuzi wa wasimamizi wa uchaguzi huo.
Angalizo: Endapo CHADEMA watashikiriki uchaguzi huu katika MAZINGIRA haya batili basi watanzania wenye kujitambua wataamini nchi hii hakuna chama cha upinzani wote ni ccmB na mnalamba asali na kusaliti matumaini ya watanganyika kwenu.
Ova.
Inafahamika wazi nchi hii hakuna vyama vya upinzani zaidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA). Vyama vingine vyote vinavyojiita vya upinzani ni matawi ya CCM na vimeanzishishwa ili kudhoofisha nguvu za CHADEMA.
Sasa kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa baadae mwaka huu ni vema chadema WASISHIRIKI uchaguzi huu ambao unasimiwa na makada wa CCM ambao wameshaahidi tena hadharani kwamba hakuna kata itakayoenda upinzani.
Nawashauri CHADEMA kama kweli wapo kwa ajili ya kulikomboa taifa hili dhidi ya mkoloni mweusi CCM basi wadai Tume Huru ya kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa na sio kuwaachia kina Mchengerwa wafanye hujuma kama walivyomuahidi mwenyekiti wao ambae ndie mteuzi wa wasimamizi wa uchaguzi huo.
Angalizo: Endapo CHADEMA watashikiriki uchaguzi huu katika MAZINGIRA haya batili basi watanzania wenye kujitambua wataamini nchi hii hakuna chama cha upinzani wote ni ccmB na mnalamba asali na kusaliti matumaini ya watanganyika kwenu.
Ova.