Ni Vema Kingai, Jumanne, Goodluck na Mahita Wangekamatwa

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Kama uhai na utu wa mwanadamu una thamani Tanzania, ni vema hawa watu wanne, Kingai, Jumanne, Goodluck na Mahita, wangekamatwa kwaajili ya kuwafanyia uchunguzi wa kijanai kuhusiana na mazingira yanayowazunguka kuhusu kuwatesa watu, kuwateka, kuwapoteza na hata mauaji.

Majina haya manne yanatajwa tajwa sana kuhusiana na matukio ya utekaji, upotezwaji na hata mauaji ya watu mbalimbali.

Katika hali ya kawaida, tungebahatika kuwa na utawala/uongozi unaojali haki za msingi za raia na sheria za nchi, hawa walistahili kukamatwa na kuhojiwa juu ya uhusika wao katika utekaji, upotezwaji na mauaji ya watu. Kama walihusika wafikishwe mahakamani, kama hawakuhusika, basi wapate kutakaswa.

Wahanga mbalimbali wa matukio ya utekaji, wameweza kuwatambua hawa watu kama miongoni mwa watesi wao. Kwa nini wasikamatwe na kuchunguzwa?
 
Yani malangahe alivyo kaa utadhani mmoja wa wajumbe wa kamati ya maombezi hapo kanisani siloam ila sasa matendo yake dah
 
Ni wakushughulikia kitaa ikibidi na familia zao
Hata wazao wao, uwezekano mkubwa watakuja kuwa ni wauaji. Fuatilia Mahita baba, ona anachofanya mwanae.

Ndiyo maana kuna sehemu katika biblia, Mungu aliwaagiza waisrael waende wawatekeze maadui zao pamoja na wazao wao wote.

Hawa akina Kingai na wazao wao, ni nyoka. Nyoka mkubwa ni hatari ya leo, nyoka mdogo ni hatari ya kesho.
 
Hawa pia wanawake na watoto wa kike,tuwatongoze tuwajaze mimba wake zao na mabinti zao tuongeze kizazi cha nyoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…