Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena hadi sura tunazimanyaMsamiati wa Wasiojulikana haupo tena. Wameshajulikana hawa Wauaji na Watesaji
Kwa pamoja wanaunda mhimili wa uovuKushitakiwa hawa watu ni ngumu sababu ni ngumu kutenganisha polisi na mhimili uliojichimbia sana (CCM) tofauti yao ni ndogo sana.
Kwani Tz hakuna tume ya haki za binadamu au taasisi yeyote ya kutetea haki za kuishi kwa mwanadamu.Bahati mbaya sana sikusoma sheria,ningewafikisha kwenye mahakama za kimataifa za hapa tz Ni za ccm .Kama uhai na utu wa mwanadamu una thamani Tanzania, ni vema hawa watu wanne, Kingai, Jumanne, Goodluck na Mahita, wangekamatwa kwaajili ya kuwafanyia uchunguzi wa kijanai kuhusiana na mazingira yanayowazunguka kuhusu kuwatesa watu, kuwateka, kuwapoteza na hata mauaji.
Majina haya manne yanatajwa tajwa sana kuhusiana na matukio ya utekaji, upotezwaji na hata mauaji ya watu mbalimbali.
Katika hali ya kawaida, tungebahatika kuwa na utawala/uongozi unaojali haki za msingi za raia na sheria za nchi, hawa walistahili kukamatwa na kuhojiwa juu ya uhusika wao katika utekaji, upotezwaji na mauaji ya watu. Kama walihusika wafikishwe mahakamani, kama hawakuhusika, basi wapate kutakaswa.
Wahanga mbalimbali wa matukio ya utekaji, wameweza kuwatambua hawa watu kama miongoni mwa watesi wao. Kwa nini wasikamatwe na kuchunguzwa?
Hakuna mfugaji anaweza adhibu mifugo yake kwa kula Shamba la mkulimaWenye mamlaka walichukue hili walifanyie kazi