Bado wanatumika kutesa,kuteka na kuwabambikia Watanzania wenzao kesi pia kuendesha mashauri ya kubumba.Mtesi anawatumia na baadaye atawapoteza pindi wakikamilisha kazi yake.Kama uhai na utu wa mwanadamu una thamani Tanzania, ni vema hawa watu wanne, Kingai, Jumanne, Goodluck na Mahita, wangekamatwa kwaajili ya kuwafanyia uchunguzi wa kijanai kuhusiana na mazingira yanayowazunguka kuhusu kuwatesa watu, kuwateka, kuwapoteza na hata mauaji.
Majina haya manne yanatajwa tajwa sana kuhusiana na matukio ya utekaji, upotezwaji na hata mauaji ya watu mbalimbali.
Katika hali ya kawaida, tungebahatika kuwa na utawala/uongozi unaojali haki za msingi za raia na sheria za nchi, hawa walistahili kukamatwa na kuhojiwa juu ya uhusika wao katika utekaji, upotezwaji na mauaji ya watu. Kama walihusika wafikishwe mahakamani, kama hawakuhusika, basi wapate kutakaswa.
Wahanga mbalimbali wa matukio ya utekaji, wameweza kuwatambua hawa watu kama miongoni mwa watesi wao. Kwa nini wasikamatwe na kuchunguzwa?
Walitii maagizo so maagizo yanawalinda.Wahanga mbalimbali wa matukio ya utekaji, wameweza kuwatambua hawa watu kama miongoni mwa watesi wao. Kwa nini wasikamatwe na kuchunguzwa?
Wanafanya kishamba na kizamani hadi wamejulikana. Siku hizi wanaishi kwa hofu Kama digidigi.Ila jamaa wanakula bata sana. Inamaana hawa ndio wenye ujuzi na nguvu sana ndani ya jeshi la polisi? naona operesheni nyingi wanapewa wao tu.
Basi watamuwa na mafunzo murua na imara sana mithiri ya CIA
Waovu ujifichia kwenye ibada.Waovu ndivyo walivyo. Maneno, matendo na mwonekano wao huficha ushetani uliomo ndani yao.
Ndiyo. Mda utasema. Lisemwalo lipo na linakuja.Kama uhai na utu wa mwanadamu una thamani Tanzania, ni vema hawa watu wanne, Kingai, Jumanne, Goodluck na Mahita, wangekamatwa kwaajili ya kuwafanyia uchunguzi wa kijanai kuhusiana na mazingira yanayowazunguka kuhusu kuwatesa watu, kuwateka, kuwapoteza na hata mauaji.
Majina haya manne yanatajwa tajwa sana kuhusiana na matukio ya utekaji, upotezwaji na hata mauaji ya watu mbalimbali.
Katika hali ya kawaida, tungebahatika kuwa na utawala/uongozi unaojali haki za msingi za raia na sheria za nchi, hawa walistahili kukamatwa na kuhojiwa juu ya uhusika wao katika utekaji, upotezwaji na mauaji ya watu. Kama walihusika wafikishwe mahakamani, kama hawakuhusika, basi wapate kutakaswa.
Wahanga mbalimbali wa matukio ya utekaji, wameweza kuwatambua hawa watu kama miongoni mwa watesi wao. Kwa nini wasikamatwe na kuchunguzwa?
Walidhani itabaki kuwa siri. Hakuna kitu kinaumiza kama siri kali kujulikana PublicWanafanya kishamba na kizamani hadi wamejulikana. Siku hizi wanaishi kwa hofu Kama digidigi.
Wenye mamlaka walichukue hili walifanyie kaziKama uhai na utu wa mwanadamu una thamani Tanzania, ni vema hawa watu wanne, Kingai, Jumanne, Goodluck na Mahita, wangekamatwa kwaajili ya kuwafanyia uchunguzi wa kijanai kuhusiana na mazingira yanayowazunguka kuhusu kuwatesa watu, kuwateka, kuwapoteza na hata mauaji.
Majina haya manne yanatajwa tajwa sana kuhusiana na matukio ya utekaji, upotezwaji na hata mauaji ya watu mbalimbali.
Katika hali ya kawaida, tungebahatika kuwa na utawala/uongozi unaojali haki za msingi za raia na sheria za nchi, hawa walistahili kukamatwa na kuhojiwa juu ya uhusika wao katika utekaji, upotezwaji na mauaji ya watu. Kama walihusika wafikishwe mahakamani, kama hawakuhusika, basi wapate kutakaswa.
Wahanga mbalimbali wa matukio ya utekaji, wameweza kuwatambua hawa watu kama miongoni mwa watesi wao. Kwa nini wasikamatwe na kuchunguzwa?
Mimi ndugu yangu angepotea ningemlipizia kisasi wanaojulikana sasaWanafanya kishamba na kizamani hadi wamejulikana. Siku hizi wanaishi kwa hofu Kama digidigi.
Kaka ubarikiwe sana, hasa huyo mbwa Jumanne nilitaka kufahamu sura yake1. Tuanze kwa kuweka picha zao tuwafahamu huyu hapa
Jumanne Malangahe
View attachment 2079217
2. Mahita Omary Mahita
View attachment 2079212
Thread 'Mfahamu Omari Mahita Omari, Mtoto wa IGP mstaafu aliyehenyeshwa Mahakamani na Mawakili wa Mbowe' Mfahamu Omari Mahita Omari, Mtoto wa IGP mstaafu aliyehenyeshwa Mahakamani na Mawakili wa Mbowe
3. ACP KINGAI
View attachment 2079221
Amina mkuuKaka ubarikiwe sana, hasa huyo mbwa Jumanne nilitaka kufahamu sura yake