Ni Vema Kingai, Jumanne, Goodluck na Mahita Wangekamatwa

Kushitakiwa hawa watu ni ngumu sababu ni ngumu kutenganisha polisi na mhimili uliojichimbia sana (CCM) tofauti yao ni ndogo sana.
 
Yawezekana mbinu za interrogation ndio shida,labda mafunzo yao yana walakini.Labda kwa kutojua wanajikuta wanatumia nguvu nyingi kupindukia wakidhani ndio watapata confession ya mtuhumiwa.
Mbona hata NAZI Germany ilimuandika kazi chief interrogator Hanns Scharff yeye alikuwa hatumii nguvu,yupo tiyari atoke na mfungwa ampe uhuru hata atamununulia chakula au kinywaji hadi mtuhumiwa mwenyewe anakiri makosa yake bila nguvu.Na hiyo ni vita ya pili.Iweje leo bado watesaji hawajifunzi?

 
Kwani Tz hakuna tume ya haki za binadamu au taasisi yeyote ya kutetea haki za kuishi kwa mwanadamu.Bahati mbaya sana sikusoma sheria,ningewafikisha kwenye mahakama za kimataifa za hapa tz Ni za ccm .
 
Damu na roho za marehemu wote na ziwe juu yao na vizazi vyao.Ameen...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…