Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwanza majimbo yapunguzwe yabaki sawa na idadi ya Wilaya 123Kuna viongozi wangapi kwenye hayo maeneo uliyoyataja wanaoongoza? Kwahy hao wameshindwa kuyaendeleza kwahy tulete viongozi mara mbili zaidi ya hao ndio patakuwa na maendeleo.