Ni vema Mambosasa akaondoka na Makonda

Ni vema Mambosasa akaondoka na Makonda

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwa kadri ya ufahamu wangu wa mambo ya kipolisi , Rpc Mambosasa ambaye aliteuliwa na IGP aliwajibika zaidi kwa Makonda kuliko alivyowajibika kwa mamlaka yake ya uteuzi , wako wanaoona aliwajibika zaidi kwa Makonda binafsi kuliko hata Makonda wa ofisi ya RC , huyu anapaswa kung'olewa kama alivyong'olewa Makonda , hata kama wanasema ni njama iliyopangwa.

Kama kweli IGP anataka Dar iwe safi basi muda ni huu , Mambosasa aondolewe
 
Ang'olewe kwa kosa lipi?
Acha ramli chonganishi,polisi haifanyi kazi kwa kufuata mapigo yako ya moyo
Usimfananishe CP na PC
 
Hili wala lisikupe shida, soon utapata hitaji la moyo wako. Sirro hawezi kumvumilia zaidi.
 
We jamaa bana, sometimes unachekesha sana
Kwa kadri ya ufahamu wangu wa mambo ya kipolisi , Rpc Mambosasa ambaye aliteuliwa na IGP aliwajibika zaidi kwa Makonda kuliko alivyowajibika kwa mamlaka yake ya uteuzi , wako wanaoona aliwajibika zaidi kwa Makonda binafsi kuliko hata Makonda wa ofisi ya RC , huyu anapaswa kung'olewa kama alivyong'olewa Makonda , hata kama wanasema ni njama iliyopangwa.

Kama kweli IGP anataka Dar iwe safi basi muda ni huu , Mambosasa aondolewe
 
Kwa kadri ya ufahamu wangu wa mambo ya kipolisi , Rpc Mambosasa ambaye aliteuliwa na IGP aliwajibika zaidi kwa Makonda kuliko alivyowajibika kwa mamlaka yake ya uteuzi , wako wanaoona aliwajibika zaidi kwa Makonda binafsi kuliko hata Makonda wa ofisi ya RC , huyu anapaswa kung'olewa kama alivyong'olewa Makonda , hata kama wanasema ni njama iliyopangwa.

Kama kweli IGP anataka Dar iwe safi basi muda ni huu , Mambosasa aondolewe
Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama mkoa wa Dar kang'olewa. Je bado atakuwa powerful as before? Je Marekani itamlegezea masharti?
 
Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama mkoa wa Dar kang'olewa.Je bado atakuwa powerful as before?Je Marekani itamlegezea masharti?


Marekani amlegezee nani masharti. Hakuna anaetaka kwenda huko. Wapambane na covid-19 yao.

Wakati wanamuwekea ngum makonda walizani hakuna mungu.

Mungu nae akawapa covid-19 nawao wakajiwekea ngum mpaka leo.
Hivyo usihoji kulegezwa kwa mashart ya makonda kwenda marekani maana marekani walipigwa ban na mungu.
😆😆😆chezea mungu wewe.
 
Kwa kadri ya ufahamu wangu wa mambo ya kipolisi , Rpc Mambosasa ambaye aliteuliwa na IGP aliwajibika zaidi kwa Makonda kuliko alivyowajibika kwa mamlaka yake ya uteuzi , wako wanaoona aliwajibika zaidi kwa Makonda binafsi kuliko hata Makonda wa ofisi ya RC , huyu anapaswa kung'olewa kama alivyong'olewa Makonda , hata kama wanasema ni njama iliyopangwa.

Kama kweli IGP anataka Dar iwe safi basi muda ni huu , Mambosasa aondolewe
Mi namtetea asiondolewe maana wezi vibaka watatawala huko uraiani haki sio nzuri watu watakabwa mchana kweupe huyu mambosasa anawanyorosha vilivo
 
Ila mimi naona kuondoka kwa Makonda ni kiini macho, tunachezwa shere hapa.
Inawezekana maana angetumbua wengine (waliotia nia )amwache yeye wakati nae katia nia ingeonekana anamlinda.
Hivyo hata kwenye daftari la maoni wakimkata huko mbeleni anaweza teuliwa mbunge w kuteukiwa na akapachikwa kwenye baraza mawaziri
 
Mi namtetea asiondolewe maana wezi vibaka watatawala huko uraiani haki sio nzuri watu watakabwa mchana kweupe huyu mambosasa anawanyorosha vilivo
Mambosasa amezuia uhalifu ! Wewe unaishi Dar kweli ?
 
Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama mkoa wa Dar kang'olewa.Je bado atakuwa powerful as before?Je Marekani itamlegezea masharti?
Happana hajang'olewa bali huo ni mkakati wa kumubadilishia kazi apewe yenye hadhi zaidi kama Uwaziri baada ya kuchukiwa sana na wakazi wa Dar akiwa RC. Asipopita kwenye kura za maoni, Mwenyekiti alikwishasema hata watatu au wanne atachukuliwa hata kupewa Uwaziri huku wa kwanza akiachwa solemba. Vinginevyo alishindwa uchaguzi atateuliwa Ubunge na kukabithiwa Uwaziri wa Mambo ya Nje kuwaonyesha Wamarekani kuwa hawawezi kumzuia homeboy kuingia kwenye nchi yao vinginevyo Secretary of State wao Pompeo nae atazuiwa kuingia Tanzania. Pompeo na Makonda hand in hand!
 
Back
Top Bottom