wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Hajazuia amepunguza /kudhibiti kwa kiasi kikubwa tena mnoMambosasa amezuia uhalifu ! we unaishi Dar kweli ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajazuia amepunguza /kudhibiti kwa kiasi kikubwa tena mnoMambosasa amezuia uhalifu ! we unaishi Dar kweli ?
Hiyo DCP yenyewe anaisoma kwenye magazeti CP kaitolea wapi!Ang'olewe kwa kosa lipi?
Acha ramli chonganishi,polisi haifanyi kazi kwa kufuata mapigo yako ya moyo
Usimfananishe CP na PC
ukisoma kwa haraka huwezi kuelewa
Nzi wa kijani wao huwa wanaandika saa ngapi?Vijana wa Chadema wana stress sana mkuu,
Unaweza ona mtu anaandika uzi wa kumtakia mabaya mwenzake saa saba usiku.
Mbasa wapo shida ya wavuvi wa Kyela ni bei , bila elfu 35 au 40 hujanunuaKyela kwa sasa mbasa wanapatikana Mkuu? Nakuja next week
AMINI USIAMINI, Jamaa wapo humu wa miwani nyeusi,Itafanyiwa kazi kabla Ya Jumatano ,😁😁😂👏👏Kwa kadri ya ufahamu wangu wa mambo ya kipolisi , Rpc Mambosasa ambaye aliteuliwa na IGP aliwajibika zaidi kwa Makonda kuliko alivyowajibika kwa mamlaka yake ya uteuzi , wako wanaoona aliwajibika zaidi kwa Makonda binafsi kuliko hata Makonda wa ofisi ya RC , huyu anapaswa kung'olewa kama alivyong'olewa Makonda , hata kama wanasema ni njama iliyopangwa.
Kama kweli IGP anataka Dar iwe safi basi muda ni huu , Mambosasa aondolewe
Duuh, kweli hatari! Nitakuja kula mbelele tu, sitajali ana miiba mingi au lahMbasa wapo shida ya wavuvi wa Kyela ni bei , bila elfu 35 au 40 hujanunua
Dogo achana na makonda utajidhalilisha bure, huyo ana laana ya Mzee Warioba kwa kumtandika makofi alipokuwa akipinga ujio wa katiba mpya.Vijana wa Chadema wana stress sana mkuu,
Unaweza ona mtu anaandika uzi wa kumtakia mabaya mwenzake saa saba usiku.
Ni kweliMbona usiku sana huu mkuu