Ni vema Mambosasa akaondoka na Makonda

Vijana wa Chadema wana stress sana mkuu,

Unaweza ona mtu anaandika uzi wa kumtakia mabaya mwenzake saa saba usiku.
Nzi wa kijani wao huwa wanaandika saa ngapi?
 
AMINI USIAMINI, Jamaa wapo humu wa miwani nyeusi,Itafanyiwa kazi kabla Ya Jumatano ,πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ‘πŸ‘
 
Vijana wa Chadema wana stress sana mkuu,

Unaweza ona mtu anaandika uzi wa kumtakia mabaya mwenzake saa saba usiku.
Dogo achana na makonda utajidhalilisha bure, huyo ana laana ya Mzee Warioba kwa kumtandika makofi alipokuwa akipinga ujio wa katiba mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…