Ni vema mtoto wa Kitanzania asome masomo yatakayomwongoza kufanya kazi aipendayo hapo baadaye

Ni vema mtoto wa Kitanzania asome masomo yatakayomwongoza kufanya kazi aipendayo hapo baadaye

fungi06

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2020
Posts
738
Reaction score
1,017
Basi kama sirikali kweli inataka kusaidia taifa a kesho kurudisha hadhi ya Mtanzania kuw mzalendo na nchi yake basi pasipo na shaka lazima tuwe watu waku make opportunity kulingana na mazingira yetu.

Basi nimekutuna na mzungu fulani nikiwa natoka kusoma, ana furaha na kazi yake ya udereva wa mabasi hapa nchini Germany.

Yani anaipenda kazi yake na ni professional yake aliyoichagua kuanzia akiwa mtoto mdogo. Kubwa zaidi nililoshangaa ni kua hajui kuandika hata essay 1 kwa Kiingreza; yani yeye anajua tu kuandika jina lake na vitu baadhi.

Nikafuatilia nikajua kitu. Kumbe elimu ya awali kwa mtoto pale ndiyo sehemu mzazi anapotakiwa kujua talent ya mtoto wake. Yaani unaweza ukaingia darasani ukakua darasa la vidudu limejaa kila toy unayoiwaza hapo akilini kwako kasoro (#×+%), nazani mnazijua wakesha zile sites.

Yani darasa lina portion kama 12 za toys tofauti mpaka za mapolisi -- Uchoraji, urembo, mazingira, hospitali. Na mbele mwalimu anaendelea kufundisha lakini sio lazima mtoto kumsikiliza; yani wana-consider mno interest za mtoto na ndiyo maana tunahisi wazungu wanazo akili mno ila hawakuti hata mwanafunzi wa form 4 Tanzania.

Yani wangekua wanasoma kama sisi Bongo, basi ungekuta wote duniani tunatishana; hamna mwenye uwezo kuzidi mwenzie.

Wakakaa wakaona ni vyema mtu ajifunze kwa ufasaha kitu kimoja kwa nguvu zote kuliko kusoma PCM for being content holder sio competence holder.

Naomba wazazi tusaidie watoto wetu maana hamna mtu Bongo wakukutakia mafanikio ya mwanao. Kila mtu anabeba mzigo wake wale wenye hela hongera zao maana wanawakimbiza watoto wao na hili janga la kulishana ma-content hovyo yaliyojaa kejeli.

Sipingi, ila huku kusoma soma vitu tusivyovipenda vimepelekea hata kuongezeka kwa waropokaji. Hata uku mtandaoni tunaona na hapa watapita mtawaona

Tanzania ili tubadilike tutoke kwenye giza tulilopo basi elimu isiwe bure tu, bali iwe elimu ya kumwezesha mtu kupenda kile anachokisoma. Hii huleta ubunifu, nani anabisha?

90% ya Watanzania wote hawapendi kazi zao wanazozifanya; hata wewe unayesoma huu uzi hupendi kazi yako muda mwingine.

Mniombee ninatafuta usafiri nirudi nyumbani, nimemiss wali wa maharage ya nazi.
 
Umemiss si upike mkuu kwani mchele, maharagae na nazi hawauzi huko?
 
Serikali zetu za kiafrika bado zimelala juu ya maswala ya elimu.

Ila uko sahihi asilimia 100%.
 
Zama hizi za MOOCS; OER; Open Education -- still bado pana watu wanasubiri serekali iwapangie cha kusoma?
 
Basi kama sirikali kweli inataka kusaidia taifa a kesho kurudisha hadhi ya Mtanzania kuw mzalendo na nchi yake basi pasipo na shaka lazima tuwe watu waku make opportunity kulingana na mazingira yetu.

Basi nimekutuna na mzungu fulani nikiwa natoka kusoma, ana furaha na kazi yake ya udereva wa mabasi hapa nchini Germany.

Yani anaipenda kazi yake na ni professional yake aliyoichagua kuanzia akiwa mtoto mdogo. Kubwa zaidi nililoshangaa ni kua hajui kuandika hata essay 1 kwa Kiingreza; yani yeye anajua tu kuandika jina lake na vitu baadhi.

Nikafuatilia nikajua kitu. Kumbe elimu ya awali kwa mtoto pale ndiyo sehemu mzazi anapotakiwa kujua talent ya mtoto wake. Yaani unaweza ukaingia darasani ukakua darasa la vidudu limejaa kila toy unayoiwaza hapo akilini kwako kasoro (#×+%), nazani mnazijua wakesha zile sites.

Yani darasa lina portion kama 12 za toys tofauti mpaka za mapolisi -- Uchoraji, urembo, mazingira, hospitali. Na mbele mwalimu anaendelea kufundisha lakini sio lazima mtoto kumsikiliza; yani wana-consider mno interest za mtoto na ndiyo maana tunahisi wazungu wanazo akili mno ila hawakuti hata mwanafunzi wa form 4 Tanzania.

Yani wangekua wanasoma kama sisi Bongo, basi ungekuta wote duniani tunatishana; hamna mwenye uwezo kuzidi mwenzie.

Wakakaa wakaona ni vyema mtu ajifunze kwa ufasaha kitu kimoja kwa nguvu zote kuliko kusoma PCM for being content holder sio competence holder.

Naomba wazazi tusaidie watoto wetu maana hamna mtu Bongo wakukutakia mafanikio ya mwanao. Kila mtu anabeba mzigo wake wale wenye hela hongera zao maana wanawakimbiza watoto wao na hili janga la kulishana ma-content hovyo yaliyojaa kejeli.

Sipingi, ila huku kusoma soma vitu tusivyovipenda vimepelekea hata kuongezeka kwa waropokaji. Hata uku mtandaoni tunaona na hapa watapita mtawaona

Tanzania ili tubadilike tutoke kwenye giza tulilopo basi elimu isiwe bure tu, bali iwe elimu ya kumwezesha mtu kupenda kile anachokisoma. Hii huleta ubunifu, nani anabisha?

90% ya Watanzania wote hawapendi kazi zao wanazozifanya; hata wewe unayesoma huu uzi hupendi kazi yako muda mwingine.

Mniombee ninatafuta usafiri nirudi nyumbani, nimemiss wali wa maharage ya nazi.
Nashkuru sana kuna mdogo wangu ninampa somo kila siku kuhusu anachokipenda na mpaka sasa hivi kaamua kuwa daktari hapo baadae kama mimi kakaake.
 
Nashkuru sana kuna mdogo wangu ninampa somo kila siku kuhusu anachokipenda na mpaka sasa hivi kaamua kuwa daktari hapo baadae kama mimi kakaake.
Safi. Umejuaje amependa udaktari?
 
Zama hizi za MOOCS; OER; Open Education -- still bado pana watu wanasubiri serekali iwapangie cha kusoma?
Bado mkuu jitaidi upitie mashulenu ujionee
 
Ni kweli, kwa sababu kwetu mtu anasoma mpaka amalize awe daktari kamili, kwa mfano, anakuwa kisha kuwa na familia. Hawezi kufanya research yoyote zaidi ya kufyatua watoto na kuwahudumia.
Umenena ukweli mtupu...
 
Safi. Umejuaje amependa udaktari?
Kwa kuangalia mienendo yake na masomo ambayo huyasoma ni yapi hufaulu vizuri.

Dogo anafanya vizuri masomo yote lakini huwezi kumkuta anakusimulia mambo ya history na civics hata siku moja,yeye atakuelezea mambo ya biology na chemistry sijui mwili uko hivi na vile ama hivi na vile n.k

Hata akiwa anatizama tv basi kama kuna kipindi cha afya dokta anaongea huwezi kumkosa.

Hata akimuona mnyama yeyote huanza kumchunguza sana maumbile yake na namna alivyo na hujipa maswali mengi sana.

Lakini pia anahamasika sana ukimpa sababu za kisayansi juu ya jambo fulani la mwili na huelewa sana kuliko mambo mengine yasiyokuwa hayo.

Siku nilipomuuliza akaniambia anapenda sana kuwa daktari wa watu,nikamuuliza kwa nini ?
Akasema anajikuta anapenda tu hiyo kazi licha ya kuwa naona muelekeo wake juu ya kupenda huko na pia hakuna ndugu katika familia yetu ni daktari labda tuseme kuwa alihamasika naye,hakuna.

Lakini pia nimeona kuwa ukimuuliza kuhusu mambo ya sayansi anaweza kuweka mjadala mzito na ukazungumza nae ukampa challenge na akaziweza vizuri tu kuzijibu.
 
Kwa kuangalia mienendo yake na masomo ambayo huyasoma ni yapi hufaulu vizuri.

Dogo anafanya vizuri masomo yote lakini huwezi kumkuta anakusimulia mambo ya history na civics hata siku moja,yeye atakuelezea mambo ya biology na chemistry sijui mwili uko hivi na vile ama hivi na vile n.k

Hata akiwa anatizama tv basi kama kuna kipindi cha afya dokta anaongea huwezi kumkosa.

Hata akimuona mnyama yeyote huanza kumchunguza sana maumbile yake na namna alivyo na hujipa maswali mengi sana.

Lakini pia anahamasika sana ukimpa sababu za kisayansi juu ya jambo fulani la mwili na huelewa sana kuliko mambo mengine yasiyokuwa hayo.

Siku nilipomuuliza akaniambia anapenda sana kuwa daktari wa watu,nikamuuliza kwa nini ?
Akasema anajikuta anapenda tu hiyo kazi licha ya kuwa naona muelekeo wake juu ya kupenda huko na pia hakuna ndugu katika familia yetu ni daktari labda tuseme kuwa alihamasika naye,hakuna.

Lakini pia nimeona kuwa ukimuuliza kuhusu mambo ya sayansi anaweza kuweka mjadala mzito na ukazungumza nae ukampa challenge na akaziweza vizuri tu kuzijibu.
Aise ninatamai mnmuangalia vyema
 
Back
Top Bottom