Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Mara ya kwanza nimeenda out na rafik yangu tukaagiza chakula sasa kika kimechelewa na kikaja cha baridi. Rafiki yangu akamuita yule muhudumu akaanza kumfokea hadi watu wa meza nyingine wakaanza kutuangalia sisi.
Ikabidi niingilie kati kumuomba yule kaka arudishe vipashwe moto kwa sauti ya kawaida tu.
Tumashindwa kutambua wote sisi ni binadamu na tunakosea tujifunze kutreat watu vizuri.
Huyo rafiki yangu ni mtoto wa kishua sijawahi kwenda kwao lakini najiuliza sijui anaishije na wafanyakazi wa nyumbani kwao. Kwa sababu mara nyingi tukiwa pamoja akiongea nao kwenye simu anawafokea anasema bila kufanya hivyo wanakuzoea vibaya.
Sidhani kama hii ni sahihi
Ikabidi niingilie kati kumuomba yule kaka arudishe vipashwe moto kwa sauti ya kawaida tu.
Tumashindwa kutambua wote sisi ni binadamu na tunakosea tujifunze kutreat watu vizuri.
Huyo rafiki yangu ni mtoto wa kishua sijawahi kwenda kwao lakini najiuliza sijui anaishije na wafanyakazi wa nyumbani kwao. Kwa sababu mara nyingi tukiwa pamoja akiongea nao kwenye simu anawafokea anasema bila kufanya hivyo wanakuzoea vibaya.
Sidhani kama hii ni sahihi