Ni vigezo vipi vilimpa Hussein Bashe Uwaziri wa Kilimo?

Ni vigezo vipi vilimpa Hussein Bashe Uwaziri wa Kilimo?

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Mpaka sasa sijajua ni kigezo kipi kilimpa Uwaziri wa kilimo kwa sababu ni moja ya Mawaziri wa hovyo sana wanao shinda kutafuta sifa.

Bashe aliruhusu mahindi yaende sana nje, na kwa sasa cha ajabu Wakulima ndio wabao lia njaaa, na wenye mahindi ni Madalali.

Sehemu kama Arusha gunia ni sh 150, 000/ na hakuna mkulima mwenye mahindi ya kuuza, kwa sasa wanalia njaa lakini Bashe hadi leo akihojiwa utasikia nchi ina ziada ya chakula.

Na mbaya zaidi Raisi anawaini sana hawa wahuni itachukua.muda sana kuja kujua anafanya kazi na wahuni

Screenshot_20221122_212208_com.facebook.katana.jpg
 
Ila wabongo kulalamika jamani dah! Kwanini kila mtu ni mbaya kwenu asee?

So we mtoa mada una akili na uwezo kuliko kina Bashe, sasa mbona uko chini Sana unataabika tu. Huna hata kicheo wala nini.

Sometimes tupunguze malalamishi jamani. Uchambuzi umezidi sasa, kila mtu kama sio mchambuzi wa uchumi basi mchambuzi wa soka na kama sio wa soka basi mchambuzi wa ajali za ndege
 
Ulitaka mkulima alime then apangiwe pakuuza?..

Ingia shambani na wewe ukalime uuze ndani tu na sio nje ya nchi..na kama unahofia njaa ujitunzie magunia ya kutosha kwako.
Unadhani hata anaelewa anachoongea sasa. Yeye anataka hela zake ajipangie ila wakulima wapangiwe wapate bei gani ilhali ni wao wamevuja jasho.

We mtoa mada ingia shambani alafu usiuze mahindi yako nje simple tu
 
Ila wabongo kulalamika jamani dah! Kwanini kila mtu ni mbaya kwenu asee?

So we mtoa mada una akili na uwezo kuliko kina Bashe, sasa mbona uko chini Sana unataabika tu. Huna hata kicheo wala nini.

Sometimes tupunguze malalamishi jamani. Uchambuzi umezidi sasa, kila mtu kama sio mchambuzi wa uchumi basi mchambuzi wa soka na kama sio wa soka basi mchambuzi wa ajali za ndege
Baadhi ya wa tz wamejaaliwa kulalamika. Iwe jua watalalamika iwe mvua watalalamika, wengine unawakuta wanalalamika vitu vya kipumbavu hadi unatamani umpige mitama.
 
Mpaka sasa sijajua ni kigezo kipi kilimpa Uwaziri wa kilimo kwa sababu ni moja ya Mawaziri wa hovyo sana wanao shinda kutafuta sifa.

Bashe aliruhusu mahindi yaende sana nje, na kwa sasa cha ajabu Wakulima ndio wabao lia njaaa, na wenye mahindi ni Madalali.

Sehemu kama Arusha gunia ni sh 150, 000/ na hakuna mkulima mwenye mahindi ya kuuza, kwa sasa wanalia njaa lakini Bashe hadi leo akihojiwa utasikia nchi ina ziada ya chakula.

Na mbaya zaidi Raisi anawaini sana hawa wahuni itachukua.muda sana kuja kujua anafanya kazi na wahuni

View attachment 2424396
Hata mm huwa najiuliza huyu bashe sijuw walitumia vigezo gan
 
Ila wabongo kulalamika jamani dah! Kwanini kila mtu ni mbaya kwenu asee?

So we mtoa mada una akili na uwezo kuliko kina Bashe, sasa mbona uko chini Sana unataabika tu. Huna hata kicheo wala nini.

Sometimes tupunguze malalamishi jamani. Uchambuzi umezidi sasa, kila mtu kama sio mchambuzi wa uchumi basi mchambuzi wa soka na kama sio wa soka basi mchambuzi wa ajali za ndege
Waukize wanajua bei.ya pembejeo au walitaka mkulima aendelee kuwa masikn..?
 
Mama alisema anafungua nchi. Ye amefuata maelekezo.
 
Bashe ni mmoja wa mawaziri bora kuwahi kutokea katika nchi.
Bashe ndo atayeinua secta ya kilimo.
Wewe unataka upate mshahara mkubwa alafu ununua mahindi yetu kwa bei ya chini,wakati gharama za uzalishaji ziko juu.
Mimi pia nimemfuatilia Bashe kwa muda namuona kama ana tofauti kidogo, anaweza kutufaa. Kuna wakati alivyokuwa backbencher bungeni alikuwa anaongea sense sana.

Ana mpango mkubwa wa kilimo cha umwagiliaji ukifanikiwa tunaweza kupiga hatua kubwa.

Ila tatizo mfumo wetu na CCM mara nyingine ni vigumu sana kubadili mambo.
 
Ulitaka mkulima alime then apangiwe pakuuza?..

Ingia shambani na wewe ukalime uuze ndani tu na sio nje ya nchi..na kama unahofia njaa ujitunzie magunia ya kutosha kwako.
Wakulima walisha uza kwa bei ya chini kitambo sana, we unashikiwa akili inaonekana
 
Mpaka sasa sijajua ni kigezo kipi kilimpa Uwaziri wa kilimo kwa sababu ni moja ya Mawaziri wa hovyo sana wanao shinda kutafuta sifa.

Bashe aliruhusu mahindi yaende sana nje, na kwa sasa cha ajabu Wakulima ndio wabao lia njaaa, na wenye mahindi ni Madalali.

Sehemu kama Arusha gunia ni sh 150, 000/ na hakuna mkulima mwenye mahindi ya kuuza, kwa sasa wanalia njaa lakini Bashe hadi leo akihojiwa utasikia nchi ina ziada ya chakula.

Na mbaya zaidi Raisi anawaini sana hawa wahuni itachukua.muda sana kuja kujua anafanya kazi na wahuni
Bashe is very smart!.
Tanzania tuna kilimo cha aina mbili,
1. Subsistance farming,- kilimo cha kujikimu
2. Kilimo biashara.

Jukumu la kwanza la mkulima ni kulima chakula, na kuuza ziada. Bashe ameruhusu wakulima kuuza popote ili wapate faida kubwa, sasa kama mkulima atauza mpaka chakula chake, then atanunua chakula kwa fedha alizopata. Ule mtindo wa kuwapangia bei na kuzuia mazao yasitoke ni kuwatia umasikini wakulima wetu.

Kazi ya kutunza food security ya taifa letu ni jukumu la NFRA sio jukumu la wakulima.

2. Hatua ya Bashe kuruhusu wakulima kuuza mazao yao ni kuki transform kilimo chetu kiwe kilimo biashara, wakulima watajirike wasiendelee kunyonywa!. Wapinzani msione aibu kushirikiana na CCM kwenye hoja zenye maslahi ya Taifa! Bashe ni mzalendo, aungwe mkono na wote!

P
 
Ila wabongo kulalamika jamani dah! Kwanini kila mtu ni mbaya kwenu asee?

So we mtoa mada una akili na uwezo kuliko kina Bashe, sasa mbona uko chini Sana unataabika tu. Huna hata kicheo wala nini.

Sometimes tupunguze malalamishi jamani. Uchambuzi umezidi sasa, kila mtu kama sio mchambuzi wa uchumi basi mchambuzi wa soka na kama sio wa soka basi mchambuzi wa ajali za ndege
Ndio, unatakaje?
 
Unadhani hata anaelewa anachoongea sasa. Yeye anataka hela zake ajipangie ila wakulima wapangiwe wapate bei gani ilhali ni wao wamevuja jasho.

We mtoa mada ingia shambani alafu usiuze mahindi yako nje simple tu
Uwezo wenu ni mdogo sana , sikiliza kwanza hakuna Mkulima anaye jua hada mpakana pakoje, na pili wakulima walisha uza mahindi mara tu baada ya kuvuna tena kwa bei ya chini sana, na hao wakulima ndio kwa sasa wana lia njaaa
 
Bashe ni mmoja wa mawaziri bora kuwahi kutokea katika nchi.
Bashe ndo atayeinua secta ya kilimo.
Wewe unataka upate mshahara mkubwa alafu ununua mahindi yetu kwa bei ya chini,wakati gharama za uzalishaji ziko juu.
Hahaaaa
 
Back
Top Bottom